Hivi mrembo Sanchoka ana ndugu?

Hivi mrembo Sanchoka ana ndugu?

Kumbe mamake ni mwalimu....
Ilo demu back in the days linasoma majengo sec 2009 kuingia 2010 lilikua jeusi afu bovu kweli kweli wakiliita Miss Bantu wa HGE...eti nashangaa saivi ni 'mrembo mashuhuri'...
Ama kweli life is a roller coaster!
[emoji51] [emoji51] [emoji51]
 
10adbb32d54d4bbcc22aff585fd4ef66.jpg
Mbona hii chuma imekaa poa sana?!
 
Tatzo wabongo hatujui maana ya neno uchi ila tafsiri sahihi ipo kwa lugha ya kiingereza
Kwahiyo uchi maana yake nini Mkuu?,, ila kumbuka unapotafsiri maneno hutofautiana kulingana na utamaduni wa sehemu husika kwahiyo uyo dada yupo uchi kulingana na tamaduni zetu.
 
Back
Top Bottom