Hivi mrembo Sanchoka ana ndugu?

Hivi mrembo Sanchoka ana ndugu?

Na kama anao hawamshauri au wanafurahi ndugu yao kuanika mwili wake uchi hadharani??
2c37f5805896b3e05be9164379e85cdb.jpg
Mkuy jua tu kuwa huyu anaipenda kazi yake na anaifanya kwa ufanisi mkubwa!hata wewe ukiipenda na kuijali kazi yako kuna watu watakuona chizi .
Sasa huyu kazi yake ni mambo ya uchi uchi tu aidha kuuonesha au kuugawa /kuuza kwa maana ya mwanamke au binr mwenye kujiheshimu na anashughuli za kueleweka machoni pa jamii staarab hawezi kujishughulisha na yaliyo chupini mwake kiasi hiki tena kifedheha!
 
Mda wake huu mwache afanye ,akili zikikomaa ataacha. We
nadhani si akili zokikomaa bali mwili ukikomaa na si muda mrefu akigota 30 tu atafungua danguro afuge vitoto vya watu aviuze
 
Mbona huyu ana nafuu kuna chizi Moja , yuko Instagram yaani picha zake hata shetani hatii mguu

Anaitwa. I am Agness
 
Tatizo itakuwaje mume watoto wake 10 yrs to come??? Todate Nsya Swai ana Mume just 2 to 4 photos into Internet.huyu anazaidi ya 200.So sad kwa wazazi wake! Heri Tumbo lisilojaa na maziwa yasionyonyesha!.Mungu awajalie wazazi wake faraja....
Sijakuelewa hp....huyo dd aitwa nsya swai
 
Kwani kaiba au kavunja sheria haya maisha ya kufuatiliana mnayo nyie mnaokaa uswahilini yeye ana ndugu na wako na Amani familia zetu wengine fanya jambo ili mradi umefikisha miaka 18+ hakuna shida kila mtu aishi kivyake I like life wanaishi wazungu kila mtu anaishi kivyake na maisha yanaenda
kwa akiki zako unafikiri wazungu wote wana akili hizo?
Unajua maana ya msamiati wa "..disowned by her/his parent"?
Huo inatumika huko kwa wazungu wako na mtu mpaka ana dis own mwanae ina maana kamfuatilia na kaona huyu haiwezekani kuwa mwanangu wanao tolerate ni wazungu wenye akili kama zako !acheni kufananisha maigizo na maisha halisi no parent on the world will be proud to have such a daughter a common slut!
 
kwa akiki zako unafikiri wazungu wote wana akili hizo?
Unajua maana ya msamiati wa "..disowned by her/his parent"?
Huo inatumika huko kwa wazungu wako na mtu mpaka ana dis own mwanae ina maana kamfuatilia na kaona huyu haiwezekani kuwa mwanangu wanao tolerate ni wazungu wenye akili kama zako !acheni kufananisha maigizo na maisha halisi no parent on the world will be proud to have such a daughter a common slut!

Na mwisho wa siku oxygen ni bure kuivuta [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] na kila mtu aishi maisha yake ili mradi hajavunja sheria wala kula cha mtu shenzi.
 
Na mwisho wa siku oxygen ni bure kuivuta [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] na kila mtu aishi maisha yake ili mradi hajavunja sheria wala kula cha mtu shenzi.
hivi hapa tunazungumzia kuvunja sheria au maadili ?isije ikawa najadiliana na mtu asiyejua mukhtadha mzima wa mjadala huu?na kama hiyo ndio kesi hapa nakoma na mjadqla huu!
 
Mkuu mama tenaa [emoji24][emoji24] muache apumzike bwana aaaghhhh yaani mpk umeniharibia siku [emoji24][emoji24][emoji24]

Kakojoe ulale mbuzi mchanga wewe ulikua unarusha mawe huku una nyumba ya vioo [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkuy jua tu kuwa huyu anaipenda kazi yake na anaifanya kwa ufanisi mkubwa!hata wewe ukiipenda na kuijali kazi yako kuna watu watakuona chizi .
Sasa huyu kazi yake ni mambo ya uchi uchi tu aidha kuuonesha au kuugawa /kuuza kwa maana ya mwanamke au binr mwenye kujiheshimu na anashughuli za kueleweka machoni pa jamii staarab hawezi kujishughulisha na yaliyo chupini mwake kiasi hiki tena kifedheha!
Daah kweli ana bidii
 
hivi hapa tunazungumzia kuvunja sheria au maadili ?isije ikawa najadiliana na mtu asiyejua mukhtadha mzima wa mjadala huu?na kama hiyo ndio kesi hapa nakoma na mjadqla huu!

Maadili bongo [emoji3][emoji3][emoji3] kama maadili Bongo why dada zenu wanatembea siku iz bila kuvaa chupi na wengine nguo zisizo na Staha halaf maadil halafu nyie mkiwa. Wababa mnajifanya makauzu watoto zenu wa kike ndio wanakuja kua malaya mbwa kabisa.We live free in this world tusipangiane cha kufanya.Sanchi wacha afanye analofanya kama umekwazika Kumbatia karai la chips.
 
kwa akiki zako unafikiri wazungu wote wana akili hizo?
Unajua maana ya msamiati wa "..disowned by her/his parent"?
Huo inatumika huko kwa wazungu wako na mtu mpaka ana dis own mwanae ina maana kamfuatilia na kaona huyu haiwezekani kuwa mwanangu wanao tolerate ni wazungu wenye akili kama zako !acheni kufananisha maigizo na maisha halisi no parent on the world will be proud to have such a daughter a common slut!
Kama anawaweka mjini hawawezi kukohoa
 
Back
Top Bottom