Hivi msanii Mejja yupo wapi siku hizi?

Nilikua naupenda huu wimbo watu wote ofisin nilipokua walikua wanajua
 
Jamaa ana vituko sana kwenye nyimbo zake.
 
Ni yaleo ni yaleo tunauza hamsini.....Tuchukue rangi ya manyumba tufanye face painting au kama una CD ndani ya nyumba zimeharibika tunaweza wadanganya ni za mtambaruka.
 
Ni yaleo ni yaleo tunauza hamsini.....Tuchukue rangi ya manyumba tufanye face painting au kama una CD ndani ya nyumba zimeharibika tunaweza wadanganya ni za mtambaruka.
Nauza hizi sufuria
Ila hizi alama zinafutika



Kumbe vitu vyenyewe vya wizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…