serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,340
- 4,734
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikua naupenda huu wimbo watu wote ofisin nilipokua walikua wanajuaKuna wimbo yake inaitwa Niko Poa (Barua) na nyingine inaitwa Furahia. Huyu jamaa nilikuwa namkubalia sana na mwenzake Jua Cali. Sijui siku hizi wapo wapi?
Kwenye wimbo wake wa NIPO POA kuna mistari hii
Huu ni okonkwo
Tangu nikuje Nairobi
Watu wangu wa Majengo sijawasahau
Skia hii
Bro najua nimekosa sana
Ndio nimeandika hii barua mjue vile nafanya
Hope huko Nyeri bado mnakazana
Kabla niendelee salimia sana matha
Najua unashindwa ni wapi nilikuwa nalala
Clemo alinichukua akaniweka kama brother
Akanipatia mavazi na kitu ya kumanga
Tangu nitoe ngoma yangu ya ulevi
Huku Nairobi nimejua watu wengi
Wengine wazuri wengine hawanipendi
Sijali Majengo ilinifunza kaa kijeshi
Huku Calif mi huenda Jino Moja
Ama base ya Mama Sidi kushikisha gomba
Dough ikiingia ntakuja kuwaona
Kina Omari kina Juma kina Zoa
Wee wasalimie na uwaambie niko poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa napata raha sana nikimuonaga aiseeNilikua naupenda huu wimbo watu wote ofisin nilipokua walikua wanajua
Kuna nyingine inaitwa OVER MY EX ni full comedy ina beat kali kinoma"ni ni ni niii Niko poa× 2
Meja barua yako nilishika.
Shooting yake inachekesha Sana,jamaa amekaa kikatuni
Ni ya leo, ni ya leoDah, mejja anajua hatari, nasikiliza hapa bonge la biashara Jua cali ft. Mejja,
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza hizi sufuriaNi yaleo ni yaleo tunauza hamsini.....Tuchukue rangi ya manyumba tufanye face painting au kama una CD ndani ya nyumba zimeharibika tunaweza wadanganya ni za mtambaruka.
Hahahaaa Mejja anafurahisha sana kwenye mistari yake full komediani.Nauza hizi sufuria
Ila hizi alama zinafutika
Kumbe vitu vyenyewe vya wizi.
Napenda sana kiswahili chao aisee.Hahahaaa Mejja anafurahisha sana kwenye mistari yake full komediani.