Hivi msg za mitandao sijui offer gani mara sijui bet ganj kina mo GSM kina SSB wanatumiwa kweli

Hivi msg za mitandao sijui offer gani mara sijui bet ganj kina mo GSM kina SSB wanatumiwa kweli

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Mie nachukia sana hizi msg mara sijui kuna offer gani mara sijui bet ganj mara sijui shinda nini mara sijui simubima sijui mara sijui chagua mwito sijui unapigiwa simu imesimama kwa daladala mara sijui simu bima sijui nachukiaga sasa nikawaza hivi kina moo au GSM au ssb au boss unga azania au oilcom hivi nao uwa wanapigwa na kutumiwa hizi msg.nimewaza tu
 
Mie nachukia sana hizi msg mara sijui kuna offer gani mara sijui bet ganj mara sijui shinda nini mara sijui simubima sijui mara sijui chagua mwito sijui unapigiwa simu imesimama kwa daladala mara sijui simu bima sijui nachukiaga sasa nikawaza hivi kina moo au GSM au ssb au boss unga azania au oilcom hivi nao uwa wanapigwa na kutumiwa hizi msg.nimewaza tu
ina kera sana, kuna siku nilikua na chat na manzi mmoja na mtongoza asee....nilituma text ika chelewa kujibiwa sasa kila muda nilkua naangalia simu kama kajibu mpk nika kata tamaa.Nili rusha simu kitandani usingiz ukanipita.

Ile nashutka mida fulan ya night kali nachek simu inawaka ka taa ka kuashiria kuna text.

Nilichukua simu kwa furaha kutoa password niangalie hyo text ( nikijua kabisa ni huyo manz ndo nakutuma ) asalaleeee...nakta ni text ya halopesa wananiambia eti naweza shinda bodaboda nikifanya miamala.

Nilikereka hatar mpk usingiz ukapotea kwa hasira, sidhan kama kina mo wanatumiwa haya text ya ajabu ajabu
 
Bora wewe unajiliwaza kwa kuandika mada kama hii.

Hii nchi inachosha sana, mara mkazikwe naye, mara mimi mke wa rais nina njaa niongezewe mshahara, mara amieni bunjumbura, kule jiwe kubwa lauzwa dubai, hujageuka unasikia 7bil royo tua zimetumika!.
 
Mbona baharesa anatumiwa pia🤣🤣🤣 namaanisha konde boy
 
Nilisikia siku moja mkuu wa nchi analalamika kuhusu hilo inamaana hata sms hizo anazipata.
 
Bora wewe unajiliwaza kwa kuandika mada kama hii.

Hii nchi inachosha sana, mara mkazikwe naye, mara mimi mke wa rais nina njaa niongezewe mshahara, mara amieni bunjumbura, kule jiwe kubwa lauzwa dubai, hujageuka unasikia 7bil royo tua zimetumika!.
Mama Salma sijui kwa nini anapenda kujiaibisha hajawai kuongea point hata siku moja kwani akikaa akitulia mshahara hauingii.
 
Mama Salma sijui kwa nini anapenda kujiaibisha hajawai kuongea point hata siku moja kwani akikaa akitulia mshahara hauingii.
Alipewa kimemo ili ageuze upepo wa issue ya zitto kuzikwa na mamake au ile royo tua tunayopigwa soon.
 
Hapo mnachangiana kidogo wanamnunulia mshindi zawadi
Nyingine wanajipigia tu
 
Back
Top Bottom