DOKEZO Hivi Msumi ipo Dar es Salaam kweli?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nani kakwambia ile barabara kuna watu wanahitaji fidia..,barabara ya Mpigi Magohe ina mawe yamewekwa toka zamani hata ukipita utayaona haina cha fidia wala nn..,sema kuna kitu hakipo sawa pale.
Jana waziri alikuja kukagua daraja la mto Mpiji, barabara ilichongwa usiku kucha na haijawa kuchongwa kwa haraka kiasi hicho.
Ile barabara kuna watu watakuwa na maslai nayo...angalau kipindi cha Magufuli ilikuwa inacho kidogo lakini kipindi hiki wala hawajisumbu..,wananchi wanapata tabu barabara mbovu usafiri mda mwingine mapaka 3,000.
 
Kabla ya kuja waziri magari yalikuwa yanapita Kibamba karibu wiki yote hii kwa jinsi barabara ilivyokuwa mbovu..,jana waziri amekuja ilichongwa usiku kucha.
 
Halafu utakuta boya wa msumi,makabe na kerege anamcheka mtu wa Kakonko kigoma,ama namanyere katavi ama sikonge tabora
 
Niuzie
 
Barabara ya kiwango cha lami soon inakuja tenda ya kumpata mkandarasi imeshatangazwa. Msumi kumenoga endeleeni kupanga kinondoni na sinza.
Ilisemekana barabara itaanza kujengwa mwezi wa 7 na kwamba fedha za ujenzi zimeshatengwa tayari.

Sasa ujenzi umefikia wapi mkuu, maana kama walianza ujenzi mwezi wa saba kwa sasa mwezi wa tisa, hivyo miezi miwili hii watakuwa mbali kidogo.
 
Kuna mradi wq DMDP phase two watajenga barabara ya msumi kilometa 9.08 . Ujenzi unaanza mwezi wa saba. Kipindi wanatangaza zabuni ili mkandarasi apatikane. Tembelea page ya mkuu wa mkoa you tube autakuta kafafanua barabara ambazo zitapitiwa lami
Ok mkuu, kama ujenzi ulianza mwezi wa saba kama walivyoahidi, sasa tupe mrejesho wa walipofikia kwa sasa toka walipoanza huo ujenzi mwezi wa saba.

Maana tumeshaingia mwezi wa tisa sasa, hivyo kama walianza mwezi wa saba nina imani sasa hivi watakuwa wameshajenga hata kilometre mbili, au tatu za barabara.
 
Ilisemekana barabara itaanza kujengwa mwezi wa 7 na kwamba fedha za ujenzi zimeshatengwa tayari.

Sasa ujenzi umefikia wapi mkuu, maana kama walianza ujenzi mwezi wa saba kwa sasa mwezi wa tisa, hivyo miezi miwili hii watakuwa mbali kidogo.
Lami tayari mbona dakika 0 tupo Posta. Uko wapi unauliza hayo maswali ukiwa wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…