Hivi Mtandao wa Vodacom ndio wamegoma kurudisha vifurushi katika zile bei za mwanzo au bado tusubirie tu

Hivi Mtandao wa Vodacom ndio wamegoma kurudisha vifurushi katika zile bei za mwanzo au bado tusubirie tu

Kwa akili zenu mlidhani Kuna mabadiliko yoyote? Hata hao waliopunguza Bado wataongeza tu. Sheria inasema kampuni la simu linaruhusiwa kuuza Mb 1 kwa Tsh 2 mpka 9.
 
Kwa akili zenu mlidhani Kuna mabadiliko yoyote? Hata hao waliopunguza Bado wataongeza tu. Sheria inasema kampuni la simu linaruhusiwa kuuza Mb 1 kwa Tsh 2 mpka 9.
[emoji23]Yani mikataba wanayosaini viongozi wetu ni sawa na machief wa zamani vs Wakoloni

Hizi elimu zao zinatia shaka
 
Pamoja na kwamba natumia Vodacom na ninaendelea kuumia, lakini naona vodacom wana haki. leo mijinga fulani inawaambia wapandishe bei, kesho anaibuka mkombozi anasema acha. Huo sio usumbufu?
 
Wakipigwa faini, watakaa hssawa. Sijui kwa nini hadi sasa hawajafanyiwa hivyo? Labda mamlaka husika wanasubiri faini iwe kubwa ndipo wawapige.
Hapo ndio mahali tunaanza kum- miss kichaa wetu alikuwa haongei Mara mbili....Rest in eternal peace kipenzi changu.
 
Habari za Asubuhi wakuu, natumaini mumeamka salama na wengine mshaanza kupambana tena kwa siku nyingine hii ya leo ambayo Mwenyezi Mungu ametubariki.

Sasa iko hivi tangu gharama za vifurushi za mitandao ya simu zipande, huu mtandao wa Vodacom naona bado mambo ni yale yale, yaani hakuna walichofanya kama vile hawajui kinachoendelea.

Yaani wameacha zile bei mpya za vifurushi mpaka wakati huu, ikiwa nasiki kuna baadhi ya mitandao wao wamesharudisha bei zile za mwanzo ambazo zilikuwa ni nafuu zaidi kuliko hizi za sasa hivi.

Sasa wakuu labda kama kuna mwenye kujua hizi mambo zitakaa sawa kwa wakati gani, au inabidi nizoee tu kama hawana mpango wa kurekebisha hivyo vifurushi.

Uzi tayari.
Ninachokushangaa mkuu ni kwamba, unatoa hoja kama vile wewe ni mwanafunzi anayehudumiwa vifurushi kwa kujaziwa kabisa ikiwa kazi yake ni kuchat tu!

Tangu itangazwe kupanda na kisha viongozi waandamizi wa serikali kuagiza kisanii bei ishushwe, ushasikia ama kuona kampuni yoyote ya simu kushusha bei ya vifurushi?

Tanzania hii kutii agizo la kiongozi mkuu kwa adabu na taadhima, huwa mpaka waziri anayehusika afukuzwe kidhalilishaji, ndiyo utaona utekelezaji wa maagizo unafanywa, vinginevyo haiwezekani na haitawezekana.

Maana yake nini, kama rais alishasikia kilio cha umma juu ya hili na siku anahutubia taifa kalisema wazi kwamba ni kero na lazima liangaliwe upya, lkn viongozi wanaohusika na jambo hilo wapo kama hawapo, yaani kimyaa!

Hapa twaweza kusema hisia zetu negatively kwamba viongozi wanaohusika wamehongwa na makampuni kuwaziba midomo ili tuendelee kukamuliwa raia, watakuwa na hoja ya kutokea?

Tz hii tunakokwenda siko.
 
Voda na tigo bado wanayuchezea akili zetu. Airtel bado sijajua ka washarudisha
Bado. Mitandao yote karibu inacheza wimbo mmoja.

Maana hata hao Halotel ukiangalia kwa makini bei ni zile zile sawa na wengine, na bando la chuo washalifuta.
 
Habari za Asubuhi wakuu, natumaini mumeamka salama na wengine mshaanza kupambana tena kwa siku nyingine hii ya leo ambayo Mwenyezi Mungu ametubariki.

Sasa iko hivi tangu gharama za vifurushi za mitandao ya simu zipande, huu mtandao wa Vodacom naona bado mambo ni yale yale, yaani hakuna walichofanya kama vile hawajui kinachoendelea.

Yaani wameacha zile bei mpya za vifurushi mpaka wakati huu, ikiwa nasiki kuna baadhi ya mitandao wao wamesharudisha bei zile za mwanzo ambazo zilikuwa ni nafuu zaidi kuliko hizi za sasa hivi.

Sasa wakuu labda kama kuna mwenye kujua hizi mambo zitakaa sawa kwa wakati gani, au inabidi nizoee tu kama hawana mpango wa kurekebisha hivyo vifurushi.

Uzi tayari.
Nipo halotel kupewa laini tu gb4 kwa siku tatu na dk 60 mitandao yote per wiki...

Kifurushi cha buku per wiki gb1
 
We mgeni voda? Mbona vifurushi vimerudi kama vilivyokuwa awali!

Kabla ya mabadiliko ya bei na ujazo wa vifurushi gharama za vifurushi vya voda zilikiwa juu mno so walichofanya waliongeza bei kidogo na kupunguza ujazo na kilichofanyika baada ya tamko la serikali wamerudisha vifurushi vya awali (ambavyo navyo ni ghali sana) na walichopunguza ni vifurishi vya "ya kwako tu" ambavyo si rasmi.
Gb1 kwa siku tatu imerudi
 
Habari za Asubuhi wakuu, natumaini mumeamka salama na wengine mshaanza kupambana tena kwa siku nyingine hii ya leo ambayo Mwenyezi Mungu ametubariki.

Sasa iko hivi tangu gharama za vifurushi za mitandao ya simu zipande, huu mtandao wa Vodacom naona bado mambo ni yale yale, yaani hakuna walichofanya kama vile hawajui kinachoendelea.

Yaani wameacha zile bei mpya za vifurushi mpaka wakati huu, ikiwa nasiki kuna baadhi ya mitandao wao wamesharudisha bei zile za mwanzo ambazo zilikuwa ni nafuu zaidi kuliko hizi za sasa hivi.

Sasa wakuu labda kama kuna mwenye kujua hizi mambo zitakaa sawa kwa wakati gani, au inabidi nizoee tu kama hawana mpango wa kurekebisha hivyo vifurushi.

Uzi tayari.
hata hlotel wamegoma. Ndungulile afukuzwe, he is rubbish!
 
Swala ni dogo sn2 kuachana nao laini yao unatumia kwa kjpokea2 kma una umhhimj nayo sn ila mambo mengine yte unakuwa na laini mbadara full stop
 
Back
Top Bottom