Hivi Mtanganyika anaweza kwenda kuwa Rais wa Zanzibar?

Hivi Mtanganyika anaweza kwenda kuwa Rais wa Zanzibar?

Sio tu kwamba anawza, bali ishatokea na ndivyo ilivyo. Angalia:-
1. Aboud Jumbe Mwinyi
2. Ali Hassan Mwinyi
3. Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi.
Mtu wa bara na mzenji ni kitu kimoja, asili yao ni huku. Karume ni mnyasa kwao ni mkoa wa Ruvuma.

Wengine ni wanyamwezi, na wamakonde ni wengi. Siasa zetu za maeneo za kijiografia ndio zinazotudanganya kwa kutazama kama mtu wa bara au wa visiwani.

Ni dhambi ya ubaguzi na ubaya wake huwa inakwenda ikimtafuna mtu na vizazi vyake vyote.
 
Hakuna mtu aitwaye MTANGANYIKA....hayupo hayupo hayupo.....

Tanganyika ilikufa 1964.....

Ilikufa kifo kizuri na cha heshima kubwa kwa ajili ya mustakabali mwema wa miaka bilioni inayokuja.....

Ardhi ile tukufu ikaungana na Zanzibar kuzidi kuuinua utukufu wake....pande la ardhi hilo liwe bora na thamani zaidi ya hapo mwanzo.....

#Tanzania kwanza
Zanzibar ipo au haipo?
 
Back
Top Bottom