Hivi Mtanganyika anaweza kwenda kuwa Rais wa Zanzibar?

Sio tu kwamba anawza, bali ishatokea na ndivyo ilivyo. Angalia:-
1. Aboud Jumbe Mwinyi
2. Ali Hassan Mwinyi
3. Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi.
Mtu wa bara na mzenji ni kitu kimoja, asili yao ni huku. Karume ni mnyasa kwao ni mkoa wa Ruvuma.

Wengine ni wanyamwezi, na wamakonde ni wengi. Siasa zetu za maeneo za kijiografia ndio zinazotudanganya kwa kutazama kama mtu wa bara au wa visiwani.

Ni dhambi ya ubaguzi na ubaya wake huwa inakwenda ikimtafuna mtu na vizazi vyake vyote.
 
Zanzibar ipo au haipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…