Hivi Mtangazaji wa BBC Ester Kihumbi Ameolewa? Namuelewa Sana

Kumbe huna hata demu Chawa from Ludewa village πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

View attachment 2328393

Sasa we leta shobo uliwe kiboga na mwamba huyoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Yaani mdada mzuri kama huyo anaolewa na jamaa sura ngumu hivyo?

Aisee nyie Wazuri mna hasara,itakuaje akipata mtoto wa kike harafu akachukua sura ya baba yake,atamuoa yeye?

Ukiwa mzuri chagua mwanaume mzuri kama Mimi Ili upate watoto visu..

We taahira mimi Nina mke na watoto ila mwanaume wa ukweli unakuaje na mke mmja? Mimi sio rojo rojo wa Dar msiojiweza.
 
Hongera sana bwana chawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…