Hivi Mtanzania akikwambia anafika muda si mrefu huwa anamaanisha yupo umbali kiasi gani?

Hivi Mtanzania akikwambia anafika muda si mrefu huwa anamaanisha yupo umbali kiasi gani?

Hello JF,

Kuna haka katabia ka sisi Wabongo kutokuwa wakweli pindi tunapokuwa na miadi na wenzetu, mimi leo yamenikuta.

Kuna jamaa nilikuwa na miadi ya kukutana naye asubuhi ya leo saa moja kamili, sasa mimi nimefika eneo la tukio on time, lakini jamaa yeye mpaka sasa hajafika na kila nikimpigia anasema anafika muda si mrefu.

Sasa nimetafakari nikaona niulize humu: Hivi Mtanzania akikuambia anafika muda si mrefu, huwa anamaanisha yuko umbali kiasi gani?
huwaga magari yetu raia yananasimamishwa kupisha msafara wa mtukufu rais kabla hata ya mtukufu rais mwenyewe hajaingia bafuni.

hicho ndicho kipimo!!
 
By the way, its virtually impossible wote mfike eneo moja kwa wakati mmoja.. At least kuwe na kusubiriana kwa dk 15-30.
 
kingne pia, inategemea na ww unavyokubali aku controll. maana yake uwe na maamuzi (Limit).
kias kwamba hata yeye akuelewe kwamba siku nyngne akichelewa kwa mda fulani, hawezi kukukuta.

endapo unamvumiliaga kwa kadri ya matakwa yake bas atakuja kwa mda anaotaka yeye.
anyway kwangu mimi inategemea na manufaa.,

kama tunanufaika wote kwa pamoja, haiwez zid nusu saa. ikiwa tunakutana mara ya kwanza, mara nyngne robo saa, inayofuata ni kufuta namba.
 
Ila tuwe wa kweli kama ni kideti kipya, utakaa hata masaa mawili , au sio mleta mada??
 
Hapa kila mtu atalaumu the so called "watanzania" sijui nyie ni wa nchi gani?
 
Back
Top Bottom