Hivi mteja kama huyu unamjibuje?

Kwa akili kama hizi wewe hufai kuhudumia Kwenye sekta ya afya
 
Kwa akili kama hizi wewe hufai kuhudumia Kwenye sekta ya afya
Bado hujasema..

huwez kuja ofisin kwangu, nikusikilize Mimi, nijue ugonjwa wako, hujatoa hata Consultation fee, alafu dawa ukanunue kwingine .

Nitakua Sina Akili !!.

Angeenda Hosp, Hosp Huwa sio inshu, nakuandikia tu prescription unaenda mtaani kutafuta, as long as umechangia kiasi fulan Cha gharama Hosp !!.
 
Niliwah pata mteja akasema bei kubwa ngoja kuna sehemu wana bei ndogo. Nikamjibu sawa karibu tena. Nikijua kabisa that was the lowest price. Akaenda akarudi nilikuwa nimemla ofa nikaitoa. Nikamwambia mda wake umeisha.
 
Niliwah pata mteja akasema bei kubwa ngoja kuna sehemu wana bei ndogo. Nikamjibu sawa karibu tena. Nikijua kabisa that was the lowest price. Akaenda akarudi nilikuwa nimemla ofa nikaitoa. Nikamwambia mda wake umeisha.
Bora huyo alijiongeza kwenda kutafuta mwenyewe je angekuuliza sehemu nyingine ni wapi penye bei nafuu ungemjibuje mkuu
 
Hivi mteja mpya ameulizia bidhaa ukamtajia bei mkaja mkashindwana bei anakuuliza sehemu nyingine ni wapi?

Wewe kama customer care unamjibuje!
usipokua na taaluma na uzoefu wa huduma kwa wateja hiyo utaona ni kero ....

Lakini kwa wenye taaluma na uzoefu kama baadhi walivyojibu kiungwana hapo juu, hiyo sio shida wala kero....

Mjulishe tu mteja huyo politely kwamba hufahamu ama hujui mahala pengine anaweza kupata anachohitaji zaid ya hapo kwako....
 
Hivi mteja mpya ameulizia bidhaa ukamtajia bei mkaja mkashindwana bei anakuuliza sehemu nyingine ni wapi?

Wewe kama customer care unamjibuje!
Uswahili tu,binafsi nishakutana na issue kama hizo nyingi tu nje ya afrika,tena muuzaji anaweza kukuambia kabisa hapa nauza bei ghali ila kuna duka jingine anakuelekeza kwa bei nafuu zaidi ya pale kwake,customer care kwa waafrika hamna kabisa
 
Uswahili tu,binafsi nishakutana na issue kama hizo nyingi tu nje ya afrika,tena muuzaji anaweza kukuambia kabisa hapa nauza bei ghali ila kuna duka jingine anakuelekeza kwa bei nafuu zaidi ya pale kwake,customer care kwa waafrika hamna kabisa
Ulaya hawana shida ya ela mkuu basic need zote wanazo(house, car, 5 meal na mitoko ya kutosha)
 
Kwenye Biashara , USITHUBUTU KAMWE KUMUONYESHA AU KUMUELEKEZA MTEJA KUA NENDA SEHEM FULAN UTAPATA KITU UNACHOTAKA .
Kwa biashara yako wewe kwanza hauna utu!
Nimeshangazwa sana umemuandika dawa majina ya uongo na huko alipokuwa anazunguka walimwambia nini kuhusu majina ya uongo?

Kitendo cha kushindwa kumuonyesha unaondoa reputation yako, akifika sehemu nyingine atasema yule jamaa pale ana roho mbaya anasema hakuna.

Msikilize dr. Mwaka jinsi anavyopangilia maneno yake, kama unaona dalili fulani fika kituo cha afya kilicho karibu yako na ukiona kama tatizo bado linaendelea basi fika ofisini kwetu ubungo plaza. Hii sentensi wafanyabiashara wanaelewa ina maana kubwa sana.


Njoo uone kariakoo mkuu, mtu kakosa nguo fulani anaenda kuchukua kwa jirani yake anamuuzia anampa chochote, au anamwambia cheki maduka ya pale mbele utapata boss.

Unashindwa kuelewa dhana nzima ya ushindani katika biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…