Kuna siku Niko kwa Pharmacy yangu na Vijana wenzangu wanaoniuzia.
Akaja jamaa analalama kutokua sawa Kiafya.
Ilibidi nmsikilize Mimi , Kisha nikamwambia dawa zipo hapa, Bei yake ni kiasi fulan.
Jamaa akasema daaah Bei kubwa, ni wapi nitaweza zipata ?.
Nikamwambia , Mmhhh Kwa maeneo haya Sidhan ila ngoja nikuandikie .
Nikaandika majina yauongo ya zile dawa .
Alizunguka Kuanzia saa kumi jion mpaka saa 12 kasoro, akarudi tena Kwangu mie nimeshaondoka, jamaa wakanipigia simu, mteja wako karudi.
Nikamwambia mpeni dawa Fulani Fulani.
Kwenye Biashara , USITHUBUTU KAMWE KUMUONYESHA AU KUMUELEKEZA MTEJA KUA NENDA SEHEM FULAN UTAPATA KITU UNACHOTAKA .