Hivi mteja kama huyu unamjibuje?

Hivi mteja kama huyu unamjibuje?

😂😂😂wataje bhana.
Kuna mmoja aliweka oda ya kuchongewa picha mbao sasa kazi yake ishaisha ananiambia niiuze iv sasa nani atanunua picha mbao yenye sura ya mtu mwingine seriously 🤔😏
Screenshot_20231213_074407_WhatsApp.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23]wataje bhana.
Kuna mmoja aliweka oda ya kuchongewa picha mbao sasa kazi yake ishaisha ananiambia niiuze iv sasa nani atanunua picha mbao yenye sura ya mtu mwingine seriously [emoji848][emoji57]
View attachment 2845877
Karipoti kakuibia aje akute MOST WANTED akikuuliza mwambie nimewauzia police
 
Wakati mwingine kuwa tu mpole, yawezekana namna unavyomuhandle huyo mtu akaja akawa mteja wako mzuri tu.

Kuna siku niko sehemu kama mteja, akaingia mama mtu mzima akaulizia kitu ila wakashindwana bei. Akamuuliza muuzaji 'naweza pata wapi tena kama hii'? Muuzaji akamuelekeza vizuri tu, yule mama kwenda kule akakuta tofauti ya bei ni sh elfu tatu tu. Akarudi kwa yule wa kwanza na kumwambia nimekuta tofauti ya bei ni ndogo sana na kwa namna ulivyonitreat vizuri nimeaona ni busara nije nikuungishe tu wewe. Akanunua vitu karibia vya laki 3.
 
Wakati mwingine kuwa tu mpole, yawezekana namna unavyomuhandle huyo mtu akaja akawa mteja wako mzuri tu.

Kuna siku niko sehemu kama mteja, akaingia mama mtu mzima akaulizia kitu ila wakashindwana bei. Akamuuliza muuzaji 'naweza pata wapi tena kama hii'? Muuzaji akamuelekeza vizuri tu, yule mama kwenda kule akakuta tofauti ya bei ni sh elfu tatu tu. Akarudi kwa yule wa kwanza na kumwambia nimekuta tofauti ya bei ni ndogo sana na kwa namna ulivyonitreat vizuri nimeaona ni busara nije nikuungishe tu wewe. Akanunua vitu karibia vya laki 3.
Kuna wateja wengine wanauliza kwa ustaarabu hadi watamani umsindikize kwa mpinzani wako lkn wengine pasua kichwa
 
Kuna siku Niko kwa Pharmacy yangu na Vijana wenzangu wanaoniuzia.

Akaja jamaa analalama kutokua sawa Kiafya.

Ilibidi nmsikilize Mimi , Kisha nikamwambia dawa zipo hapa, Bei yake ni kiasi fulan.


Jamaa akasema daaah Bei kubwa, ni wapi nitaweza zipata ?.

Nikamwambia , Mmhhh Kwa maeneo haya Sidhan ila ngoja nikuandikie .

Nikaandika majina yauongo ya zile dawa .


Alizunguka Kuanzia saa kumi jion mpaka saa 12 kasoro, akarudi tena Kwangu mie nimeshaondoka, jamaa wakanipigia simu, mteja wako karudi.

Nikamwambia mpeni dawa Fulani Fulani.




Kwenye Biashara , USITHUBUTU KAMWE KUMUONYESHA AU KUMUELEKEZA MTEJA KUA NENDA SEHEM FULAN UTAPATA KITU UNACHOTAKA .
Wee jamaa una roho mbaya, hufai kutumwa kumpelekea mgonjwa uji, uko tayari kunywa uji wa mgonjwa hata akifa hakuna shida.
 
Hivi mteja mpya ameulizia bidhaa ukamtajia bei mkaja mkashindwana bei anakuuliza sehemu nyingine ni wapi?

Wewe kama customer care unamjibuje!
Kama unajuwa sehemu nyingine unamtajia. Kama hujuwi unamwambia kweli.
As a customer care hutakiwi kudanganya hata kidogo. Kuwa mkweli ndipo utapojenga "reputation" ya biashara yako. Usiogope kumtaji hata kama ni washindani wako, kwani hukujipanda kuukabili ushindani?
 
Kama unajuwa sehemu nyingine unamtajia. Kama hujuwi unamwambia kweli.
As a customer care hutakiwi kudanganya hata kidogo. Kuwa mkweli ndipo utapojenga "reputation" ya biashara yako. Usiogope kumtaji hata kama ni washindani wako, kwani hukujipanda kuukabili ushindani?
Sio kwa mteja kichefuchefu yaani kashachefukwa kabla ajaja
 
Hapana mkuu,
Jibu la endelea kutafuta mwenyewe sababu mmeshindwana itaonekana hujaridhika na una hasira.

Mimi nilipata mteja zaidi ya dk20 anashusha nguo after there akaniambia anhaa mbona bei kubwa nikamwambia boss nikishuka zaidi ya hapa nitaumia mimi akasema haya basi poa, nikamwambia karibu sana boss Kama hutojali naomba namba yako uwe unaangalia mzigo naopost.

Akaniachia namba after a week jamaa alirudi, in reality lazima uumie lakini upaswi kumuonyesha mteja, alinunua jinzi, tshirt, na sendo nikampa hesabu alitumia almost 68000.

Akasema bro nimependa sana unavyoongea, mpaka sasa ni mteja wangu sana, anaweza kuchukua nguo ikapelea pesa nikampa na anarudisha ndani ya muda alioahidi.
Safi sana,wewe ni mfanyabiashara halisi
 
Kuna siku Niko kwa Pharmacy yangu na Vijana wenzangu wanaoniuzia.

Akaja jamaa analalama kutokua sawa Kiafya.

Ilibidi nmsikilize Mimi , Kisha nikamwambia dawa zipo hapa, Bei yake ni kiasi fulan.


Jamaa akasema daaah Bei kubwa, ni wapi nitaweza zipata ?.

Nikamwambia , Mmhhh Kwa maeneo haya Sidhan ila ngoja nikuandikie .

Nikaandika majina yauongo ya zile dawa .


Alizunguka Kuanzia saa kumi jion mpaka saa 12 kasoro, akarudi tena Kwangu mie nimeshaondoka, jamaa wakanipigia simu, mteja wako karudi.

Nikamwambia mpeni dawa Fulani Fulani.




Kwenye Biashara , USITHUBUTU KAMWE KUMUONYESHA AU KUMUELEKEZA MTEJA KUA NENDA SEHEM FULAN UTAPATA KITU UNACHOTAKA .
Roho mbaya tu,kwanza huyo mteja alikuwa mjinga wewe mfamasia unaniandikiaje dawa mm afu nikubali kizembe zembe.
 
Back
Top Bottom