amos eglan
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 310
- 463
Habari wanajukwaa kama tunavyofahamu mtoto pindi anapokuwa tumboni hupata chakula kupitia mama yake kile anachokula na kunywa lakini nilikuwa nataka kujua kwa sababu kila unachokula lazima ukitoe kupitia haja.
Sasa kwa watoto waliopo tumboni wanapata haja kama kawaida na hutolewa na Mama au vipi?
Sasa kwa watoto waliopo tumboni wanapata haja kama kawaida na hutolewa na Mama au vipi?