Hivi Mtoto kabla hajazaliwa hupataje haja tumboni?

Hivi Mtoto kabla hajazaliwa hupataje haja tumboni?

Maana yake mtoto alianza kuonesha dalili za kuchoka kabla ya kuzaliwa.
Kuchoka hutokana na uchungu wa muda mrefu, kitovu(umbilical cord) kujizungushia shingoni mwa mtoto, na sababu nyingine nyingi( za kitaalamu)
NDIO MAANA MAMA MJAMZITO ANASHAURIWA AWAHI KITUO CHA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MARA APATAPO UCHUNGU, ni pamoja na kufanyiwa monitoring mapema so as in case shida yoyote ikijitokeza aweze kusaidiwa(eidha yeye au mtoto)
Umetisha sana, yote uliyosema ndo alisema bingwa yule.
 
Kwa Akili yako unafikilia mtoto anakula? Mtoto alichakula mtoto anaishi kwakutumia oksjen tu na mambo mengine utayaona mtoto anavyozaliwa
 
Back
Top Bottom