amos eglan
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 310
- 463
Sio wote lazima tuwe wanamuziki wengine inatosha kuwa mashabiki huu ni wangu mtazamo masela msijenge chuki--Mgambo Sele.Nafkiri huwa wanajisaidia kwa njia ya mama mjamzito kutapika na lile tumbo kuwa kubwa ni kwa sababu ya zile haja yani ndogo na kubwa za mtoto kujaa sana kwa mama hivyo tumbo hujaa
Mh ila wewe khaaNafkiri huwa wanajisaidia kwa njia ya mama mjamzito kutapika na lile tumbo kuwa kubwa ni kwa sababu ya zile haja yani ndogo na kubwa za mtoto kujaa sana kwa mama hivyo tumbo hujaa
Duuuh! Sidhani kama ni hivyo. Kuna mdau hapo juu kajaribu kuelezea kiutaalamu akihusisha mfumo wa chakula unavyofanya kazi.Nafkiri huwa wanajisaidia kwa njia ya mama mjamzito kutapika na lile tumbo kuwa kubwa ni kwa sababu ya zile haja yani ndogo na kubwa za mtoto kujaa sana kwa mama hivyo tumbo hujaa
Acha bangeNafkiri huwa wanajisaidia kwa njia ya mama mjamzito kutapika na lile tumbo kuwa kubwa ni kwa sababu ya zile haja yani ndogo na kubwa za mtoto kujaa sana kwa mama hivyo tumbo hujaa
Ni sawaKuna dada nilimpeleka kujifungua kwa njia ya KISU, daktari bingwa aliyefanya upasuaji akatuambia, mtoto alishajisaidia sana, tungechelewa ingeleta shida kubwa.
Bingwa huyu ndie aliyemzalisha binti huyo watoto wote watatu alionao kwa kisu.
Kivipi mkuu?Acha bange
Pia rejea maelezo ya ndaliloDuuuh! Sidhani kama ni hivyo. Kuna mdau hapo juu kajaribu kuelezea kiutaalamu akihusisha mfumo wa chakula unavyofanya kazi.
Duu..! Wee kweli kilaza.Nafkiri huwa wanajisaidia kwa njia ya mama mjamzito kutapika na lile tumbo kuwa kubwa ni kwa sababu ya zile haja yani ndogo na kubwa za mtoto kujaa sana kwa mama hivyo tumbo hujaa
These are unusual cases.Kuna dada nilimpeleka kujifungua kwa njia ya KISU, daktari bingwa aliyefanya upasuaji akatuambia, mtoto alishajisaidia sana, tungechelewa ingeleta shida kubwa.
Bingwa huyu ndie aliyemzalisha binti huyo watoto wote watatu alionao kwa kisu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Duu..! Wee kweli kilaza.
Maana yake mtoto alianza kuonesha dalili za kuchoka kabla ya kuzaliwa. Kuchoka hutokana na uchungu wa muda mrefu, kitovu(umbilical cord) kujizungushia shingoni mwa mtoto, na sababu nyingine nyingi( za kitaalamu).Kuna dada nilimpeleka kujifungua kwa njia ya KISU, daktari bingwa aliyefanya upasuaji akatuambia, mtoto alishajisaidia sana, tungechelewa ingeleta shida kubwa.
Bingwa huyu ndie aliyemzalisha binti huyo watoto wote watatu alionao kwa kisu.
Nafkiri huwa wanajisaidia kwa njia ya mama mjamzito kutapika na lile tumbo kuwa kubwa ni kwa sababu ya zile haja yani ndogo na kubwa za mtoto kujaa sana kwa mama hivyo tumbo hujaa
Google imeshindwa kunitafsiria....These are unusual cases.