kijanamtanashati
JF-Expert Member
- Aug 22, 2014
- 516
- 905
bwana yesu amekuja kwa ajili ya viumbe kama hao
Mkuu kuongea kiswahili moja kwa moja bila mseto huwezi?Kwa sababu anafanya dhambi tofauti na wewe haimaanishi wewe ni msafi sana.
Point hapa ni kwamba wote tunafanya dhambi ila kwa namna tofauti suala ni yeye anaweza mzinifu..wewe muongo na mwizi.
We all sinners! Don't judge!
Fortunately, nimekapenda sana kalivyo tu...she seems to be sweet and lovely.
Siwezi maana nimesomea English medium schools from kindergarten to university..then nimekaa sana abroad hivyo my Swahili is challenging sana na hata hapa nimejitahidi sana kuandika kiswahili.Mkuu kuongea kiswahili moja kwa moja bila mseto huwezi?
Basi ongea kingereza kitupu itapendeza zaidi.Siwezi maana nimesomea English medium schools from kindergarten to university..then nimekaa sana abroad hivyo my Swahili is challenging sana na hata hapa nimejitahidi sana kuandika kiswahili.
Thus, samahani sana kama umekuwa offended na maandishi yangu ya English.
But kwanza inakuwaje mtu unakasirika na mtu kutumia lugha mbili kwenye maandishi yake? Just ignore them ...utapata ulcers bure kumind visivyo na maana wala ku add value kwako.
Hautanielewa mzawa maana kiingereza chako bado ni hafifu sana. Maana kama hapa nimeswitch code tu umemangamanga na kulalamika...vipi nikiamua kucundulaligates the whole English vocabularies with Cagonokasibility? [emoji23] [emoji23]Basi ongea kingereza kitupu itapendeza zaidi.
Watoto wangu hawawezi kufanya ujinga kama huo anao fanya huyo kama ndio malezi mnayo walea mtajijuWewe una faida gani? Au watoto wako wana faida gani?