Hivi mtu akifa na hela zake ziko benki na Mpesa, tukiwa na cheti cha kifo tunaweza fuatilia?

Inawezekana kufungua file upya mkuu, kwa sharti moja kwamba ueleze ni kwasababu gani umechelewa kufungua shauri la mirathi ndani ya muda wa miaka 3 iliyowekwa kisheria. Kimsimgi, sababu tayari umeshaitaja, na ni ya msingi kisheria, kwamba msimamizi wa mirathi alifariki kabla ya kuthibitishwa na mahakama (kama nimekuelewa vizuri).

Kitabu naweza kukupatia kwa soft copy, karibu PM.
 
Kwani wewe ndo uliemlea mpaka akakua na akakuoa? Hukumbuki kuna watu walitumia rasilimali zao na wana haki na wao kupata ktk alivyochuma?
 
Mkuu basi mshukuru mungu kwamba uko kwenye ndoa yenye uadilifu na transparency kiasi hicho.Ukweli wa mambo ni kwamba ni ndoa chache zenye kufikia viwango hivyo vya maelewano na uwazi.
 
Weka namba zako mkuu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mmefiwa, hata siku tatu hazijaisha, mshaanza kuwaza hela za marehemu benki na M-pesa. Kweli dunia....!



JESUS IS LORD.
Ndg yangu Bora wawai mapema kufunguwa Mirathi, maana ukichelewa kuna Wajanja watafunguwa Mirathi na watapita nazo hizo pesa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…