Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,490
- 2,965
Elimu imekuwa rahisi sana,engineering unasoma bila msingi wa Physics
hahaha, mkuu, Physics ya O Level inatosha kabisa!
Naomba msaada kwa anayejua kuhusu hlo wakuu.
Ndio anaweza kabisa wapo wengi sana wapo Sokoine university of agriculture walimaliza EGM
Anaweza wa egm sua wapo wengi tu
cha msingi uwe na principal ya Advanced Maths na Physics/ Chemistry/Geography.....so kwa EGM ni possible
hahaha, mkuu, Physics ya O Level inatosha kabisa!
sina imani sana kama physics ni LAZIMA ila ni muhimu, lakini je embu jiulize tunataka huo msingi ili iweje? na je wao (ambao hawana physics au hawa maths) wakifika chuoni hawasomi hiyo physics? je hawafaulu? na hao waliosoma phy je hawafeli? na walipokuwa wanachaguliwa walimu hawakuliona hili? ifikie sehemu tusijilimit kwenye historia kama hawakusoma na wakifika shule wanasoma na wanafanya vizuri kuanzia class mpaka field na makazini sizani kama kuna ubaya...