Mkuu una maana gani kupambana na mvua zinazosababisha msingi kutitia. Yaani, connection ya kuweka rough gloor na hilo ni ipiNdio Inawezekana, .., Mimi NILIFANYA HIVYO kabla sijaezeka kwa lengo la kupambana na mvua zitakazo sababisha Msingi kutitia..
HIVYO kwangu Mimi naona ni maamuzi sahihi Sana.
Ndio hata mi najua hivi. Hao wanaomwaga jamvi soon after msingi nadhani ni wale wako na budget ya kutosha kujenga. Tunaojenga kidogo kidogo Jamvi huja baadae sana.Basi nadhani hatujaelewana. Hayo maswala ya kumwaga zenge baada ya msingi huwa ni wale wanaojiweza. Sisi huwa tunajenga msingi, tunafunga mkanda tunatia kifusi, tunajenga pagala kisha, kuezeka, then ndio kupanga maweza na kumwaga rough floor. Sasa nazungumzia hii ya kupanga mawe na kumwaga rough floor mkuu.
Tengeneza hata grill na milango ya chuma upande wa mbele na upande wa nyumaEla ya bati ipo mkuu ila kuipata mpaka november au december. So ndio maana nawaza nazopata hapa kati nizifanyie jambo
Zege mbichi ikipigwa na jua kali inatengeneza nyufa kwa wingi kutokana na kupoteza maji mengi (volumentric ahrinkage)..ndio maana site huwa tunatumia magunia kufunika zege ili lisipoteze maji (angalau kupunguza hiyo effect)Wakuu, mimi nina swali.
Hivi mtu hawezi kutengeneza rough floor kabla ya kuezeka nyumba?
Maana kwa hesabu zangu kuezeka ni november au december.
Lakini hapa katikati ela nayopata haiwezi fanya hiyo shughuli?
Maana kwani inaathiriwa na mvua au jua ile?
Bomba za umeme sakafuni?Pia usisahau kupitisha bomba za umeme kabla ya kumwaga zege.
kuchapia ndio kufanyaje mkuuAnza kuchapia kwanza
Floor hutengenezwa kabla ya ukuta kuanza kujengwaWakuu, mimi nina swali.
Hivi mtu hawezi kutengeneza rough floor kabla ya kuezeka nyumba?
Maana kwa hesabu zangu kuezeka ni november au december.
Lakini hapa katikati ela nayopata haiwezi fanya hiyo shughuli?
Maana kwani inaathiriwa na mvua au jua ile?
huo ni ujenzi wa watu wenye pesa ya kutosha mkuu. Majority ya nyumba zinazojengwa floo ni baada ya kuezeka.Floor hutengenezwa kabla ya ukuta kuanza kujengwa
yah kuna watoto hawatambai wanatembea tu. Nimeuliza kwa sababu kuna nyumba zinapigwa rough floor zikiwa msingiWewe nawe jitafakali uliona mtoto anatembea bila kutambaaa? Unataka kuvuka step au??
Mkuu wewe unaanza kujenga hauna hela siohuo ni ujenzi wa watu wenye pesa ya kutosha mkuu. Majority ya nyumba zinazojengwa floo ni baada ya kuezeka.
Najenga ujenzi wa wananchi walio wengi mkuu sio ule wa kumwaga rough floor kabla ya kujenga pagalaMkuu wewe unaanza kujenga hauna hela sio
Kwani si jukwaa la ujenziModerator Peleka Uzi Jukwaa Husika