Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu habari....!! Ninasikitishwa na kasi ya mabadiliko yetu vijana wa Afrika kwa kuiga mila za ulaya.....
Kuna binti nampenda sana ila ananilazimisha "kupiga deki" na mimi naona siwezi kutokana na kinyaa..Ingawa hakuna andiko lolote la MUNGU linalokataza waziwazi ......sio mila na desturi ya mwafrika na ninshindwa kwakweli kutimiza matakwa ya mpenzi wangu na anaelekea kuniacha nisipopiga "deki" kwamba simpendi..... Ushauri tafadhali.......
Cc: Zero IQ
Sitaki na sipendKwahyo we hutaki kupiga?
KinyaaPiga deki hadi uani kwan nn?
Na wewe unakubali mwanaume azame chumvini kwako?Hatakiwi kulazimisha hilo ni tendo la hiari, ila na wewe ni jukumu lako kumridhisha mwenzako, mpake hata nutella uwe unalambalamba chocolate angalau mara moja moja.
Je, wewe unakubali?Halafu kuzama chumvini mwanaume halazimishwi huwa inakuja tu yenyewe
Awe msafi tu hutasikia harufu yyte .Kinyaa
Sio kila mwanamke anapigwa deki. Ni wanawake wasafi tu
We jamaa fanya kunipa namba yake nimchek nikamnyonye kimisi kuna sehem ulimi wangu ukiigusa tuu dadadeki...!!!! Nakuhakikishia ndani ya dakika 15 atakusahau na kufuta namba yako kabisaWakuu habari....!! Ninasikitishwa na kasi ya mabadiliko yetu vijana wa Afrika kwa kuiga mila za ulaya.....
Kuna binti nampenda sana ila ananilazimisha "kupiga deki" na mimi naona siwezi kutokana na kinyaa..Ingawa hakuna andiko lolote la MUNGU linalokataza waziwazi ......sio mila na desturi ya mwafrika na ninshindwa kwakweli kutimiza matakwa ya mpenzi wangu na anaelekea kuniacha nisipopiga "deki" kwamba simpendi..... Ushauri tafadhali.......
Cc: Zero IQ
Anataka akuue mkuu achana nae!.....mimi hata ukiniwekea bastola chumvini siendi ng'ooo!!
Ana nini nisikupake bongo pilipiliHatakiwi kulazimisha hilo ni tendo la hiari, ila na wewe ni jukumu lako kumridhisha mwenzako, mpake hata nutella uwe unalambalamba chocolate angalau mara moja moja.
+112389905We jamaa fanya kunipa namba yake nimchek nikamnyonye kimisi kuna sehem ulimi wangu ukiigusa tuu dadadeki...!!!! Nakuhakikishia ndani ya dakika 15 atakusahau na kufuta namba yako kabisa
Tafsida!!!!!! Ila nimekuelewa 100%MKUU KAZI KUSAIDIANA NDO MAANA YA MAHUSIANO??!!WAKATI YEYE ANAFUA NGUO WEWE UNAMSAIDIA KUPIGA DEKI
LAZIMA MTADUMU KATIKA MAHUSIANO YENU