Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Unajua kwenye nchi hii kuna mambo yanachekesha na wakati huo huo ni kama yanadhalilisha sana.
Steve Nyerere, msanii wa vichekesho na bingwa wa kulia misibani, AMEPEWA NA NANI MAMLAKA YA KUISEMEA SERIKALI YA TANZANIA? Kwanini viongozi wa Tanzania wameamua kudhalilisha mamlaka tuliyowapa kwa kiasi hiki?
Kama yupo kiongozi wa nchi hii anayetaka kumtumia huyu jamaa ni vema akamtumia kwenye masuala yake binafsi au nyumbani kwake , huyu hajawahi kuchaguliwa na yeyote wala kuteuliwa na yeyote kwenye jambo lolote la Nchi hii.
Acheni kutudhalilisha.
Steve Nyerere, msanii wa vichekesho na bingwa wa kulia misibani, AMEPEWA NA NANI MAMLAKA YA KUISEMEA SERIKALI YA TANZANIA? Kwanini viongozi wa Tanzania wameamua kudhalilisha mamlaka tuliyowapa kwa kiasi hiki?
Kama yupo kiongozi wa nchi hii anayetaka kumtumia huyu jamaa ni vema akamtumia kwenye masuala yake binafsi au nyumbani kwake , huyu hajawahi kuchaguliwa na yeyote wala kuteuliwa na yeyote kwenye jambo lolote la Nchi hii.
Acheni kutudhalilisha.