Hivi mtu kama Steve Nyerere anaongelea masuala ya nchi kama nani?

Hivi mtu kama Steve Nyerere anaongelea masuala ya nchi kama nani?

Tangia Shilole na Irene Uwoya wagombee ubunge viti maalum kwa chama cha mbogamboga, niliacha kukiamini.

Hicho chama chao kiko na uwezo mkubwa sana wa kujitoa ufahamu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajua kwenye nchi hii kuna mambo yanachekesha na wakati huo huo ni kama yanadhalilisha sana.

Steve Nyerere, msanii wa vichekesho na bingwa wa kulia misibani, AMEPEWA NA NANI MAMLAKA YA KUISEMEA SERIKALI YA TANZANIA? Kwanini viongozi wa Tanzania wameamua kudhalilisha mamlaka tuliyowapa kwa kiasi hiki?


View attachment 2128478

Kama yupo kiongozi wa nchi hii anayetaka kumtumia huyu jamaa ni vema akamtumia kwenye masuala yake binafsi au nyumbani kwake , huyu hajawahi kuchaguliwa na yeyote wala kuteuliwa na yeyote kwenye jambo lolote la Nchi hii.

Acheni kutudhalilisha.
huyu jamaaa sijawah kumuelewa hata nusu
 
Unajua kwenye nchi hii kuna mambo yanachekesha na wakati huo huo ni kama yanadhalilisha sana.

Steve Nyerere, msanii wa vichekesho na bingwa wa kulia misibani, AMEPEWA NA NANI MAMLAKA YA KUISEMEA SERIKALI YA TANZANIA? Kwanini viongozi wa Tanzania wameamua kudhalilisha mamlaka tuliyowapa kwa kiasi hiki?


View attachment 2128478

Kama yupo kiongozi wa nchi hii anayetaka kumtumia huyu jamaa ni vema akamtumia kwenye masuala yake binafsi au nyumbani kwake , huyu hajawahi kuchaguliwa na yeyote wala kuteuliwa na yeyote kwenye jambo lolote la Nchi hii.

Acheni kutudhalilisha.
Kwani we nani hadi uwasemee watanzania wote!?
Kama humtaki ni wewe na wenye msimamo kama wako.
 
Sijawahi kuona mhehe mwenye kiherehere Kama Cha huyu jamaa, nimeishi nao wahehe huwa watulivu Ila huyu kiumbe ni kama nguchiro aliyechangamka.
 
Back
Top Bottom