Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ukweli fulaniYALE YALE YA MUSIBA NA AWAMU YA TANO!
#USELESSWOMAN
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tangia Shilole na Irene Uwoya wagombee ubunge viti maalum kwa chama cha mbogamboga, niliacha kukiamini.
Hicho chama chao kiko na uwezo mkubwa sana wa kujitoa ufahamu!
hahahhahaAfu sijui yupoje
huyu jamaaa sijawah kumuelewa hata nusuUnajua kwenye nchi hii kuna mambo yanachekesha na wakati huo huo ni kama yanadhalilisha sana.
Steve Nyerere, msanii wa vichekesho na bingwa wa kulia misibani, AMEPEWA NA NANI MAMLAKA YA KUISEMEA SERIKALI YA TANZANIA? Kwanini viongozi wa Tanzania wameamua kudhalilisha mamlaka tuliyowapa kwa kiasi hiki?
View attachment 2128478
Kama yupo kiongozi wa nchi hii anayetaka kumtumia huyu jamaa ni vema akamtumia kwenye masuala yake binafsi au nyumbani kwake , huyu hajawahi kuchaguliwa na yeyote wala kuteuliwa na yeyote kwenye jambo lolote la Nchi hii.
Acheni kutudhalilisha.
Kwani we nani hadi uwasemee watanzania wote!?Unajua kwenye nchi hii kuna mambo yanachekesha na wakati huo huo ni kama yanadhalilisha sana.
Steve Nyerere, msanii wa vichekesho na bingwa wa kulia misibani, AMEPEWA NA NANI MAMLAKA YA KUISEMEA SERIKALI YA TANZANIA? Kwanini viongozi wa Tanzania wameamua kudhalilisha mamlaka tuliyowapa kwa kiasi hiki?
View attachment 2128478
Kama yupo kiongozi wa nchi hii anayetaka kumtumia huyu jamaa ni vema akamtumia kwenye masuala yake binafsi au nyumbani kwake , huyu hajawahi kuchaguliwa na yeyote wala kuteuliwa na yeyote kwenye jambo lolote la Nchi hii.
Acheni kutudhalilisha.
Tatizo bavicha huwa mnajiona mna akili sana.Unatafsiri vibaya sana mkuu
Hivi hili k liko wapi ni km limepotezwa mazima baada ya jiwe kudanja. sijalisikia tena liinue ule mdomo.YALE YALE YA MUSIBA NA AWAMU YA TANO!
#USELESSWOMAN