Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Au ndo supika mupya🤔Hilo bango halisemi popote kwamba anaongelea masuala ya nchi. Wewe umetoa wapi?
Kama waandishi wanaona hana tija waache kwenda it's that simple.
Nikajua umemsikia , kumbe hamna kitu !Hilo bango halisemi popote kwamba anaongelea masuala ya nchi. Wewe umetoa wapi?
Kama waandishi wanaona hana tija waache kwenda it's that simple.
Anayaongelea kama nani ?Kwani katiba inamzuia kuyaongelea hayo mambo ya kitaifa ?
Anayaongelea kama Raia wa Jamuhuri ya Muungano wa TanzaniaAnayaongelea kama nani ?
Unatafsiri vibaya sana mkuu
Nikajua umemsikia , kumbe hamna kitu !
Huyu ni musiba mpya, kwa kipato hana hata uwezo wa kukodi sehemu yoyote, Kuna watu wasiojulikana wapo nyuma yakeUnajua kwenye nchi hii kuna mambo yanachekesha na wakati huo huo ni kama yanadhalilisha sana.
Steve Nyerere, msanii wa vichekesho na bingwa wa kulia misibani, AMEPEWA NA NANI MAMLAKA YA KUISEMEA SERIKALI YA TANZANIA? Kwanini viongozi wa Tanzania wameamua kudhalilisha mamlaka tuliyowapa kwa kiasi hiki?
View attachment 2128478
Kama yupo kiongozi wa nchi hii anayetaka kumtumia huyu jamaa ni vema akamtumia kwenye masuala yake binafsi au nyumbani kwake , huyu hajawahi kuchaguliwa na yeyote wala kuteuliwa na yeyote kwenye jambo lolote la Nchi hii.
Acheni kutudhalilisha.
Kama kawa wazee fursa aka machawa lazima ujiongeleshe ongelesha unaweza ukasikika, kuna watu uchawa unawafanya waishi mjini anafamilia huyo inahitaji kula.Unajua kwenye nchi hii kuna mambo yanachekesha na wakati huo huo ni kama yanadhalilisha sana.
Steve Nyerere, msanii wa vichekesho na bingwa wa kulia misibani, AMEPEWA NA NANI MAMLAKA YA KUISEMEA SERIKALI YA TANZANIA? Kwanini viongozi wa Tanzania wameamua kudhalilisha mamlaka tuliyowapa kwa kiasi hiki?
View attachment 2128478
Kama yupo kiongozi wa nchi hii anayetaka kumtumia huyu jamaa ni vema akamtumia kwenye masuala yake binafsi au nyumbani kwake , huyu hajawahi kuchaguliwa na yeyote wala kuteuliwa na yeyote kwenye jambo lolote la Nchi hii.
Acheni kutudhalilisha.
Mkuu na wewe umeanza kuwa bingwa wa kuitafsiri katiba kama mwendazake ?Unatafsiri vibaya sana mkuu
unaweza kuongea chochote ni kweli , lakini huwezi kujipa usemaji wa Taasisi , mimi naandika mengi sana humu jf , lakini yale yanayopaswa kufanywa na viongozi namwachia MnyikaMkuu na wewe umeanza kuwa bingwa wa kuitafsiri katiba kama mwendazake ?