Hivi mtu kuwa charismatic ni kipaji au?

Hivi mtu kuwa charismatic ni kipaji au?

R-K-O

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2023
Posts
482
Reaction score
2,178
Aina hii ya watu ni kama wana sumaku ya mvuto, mtu yupo simple tu anavaa kawaida, sura ya kawaida, uchumi wa kawaida lakini watu wanampenda sana uwepo wake, kuongea nae, kuchati nae, kwenda kumsalimia, n.k.

Ni mtu ambae hata akiwa mgeni sehemu flani basi kesho yake kashazoeleka, akikaa sehemu kashakusanya kijiji, ni mtu ambae hata ajenge mbali na mji watu wapo tayari kuchoma mafuta na kulipia nauli wamfate, hata watu wale serious / wakimya hapa wanaongea mpaka mnabaki kushangaa.

Hiki ni kipaji au?
 
Kuna kipaji hii inakua natural hutumii nguvu alafu kuna tabia 😀😀
 
Hiyo anayo Mshana Jr nadhani ni kuwa postive Sana kwa watu kuwasifu ,kuwatia moyo na kuwasapoti kimawazo n.k

By nature watu tunapenda kuwa na watu wanaotutia moyo na kutufanya kujihisi comfortable.
 
Kuna braza wangu yupo hivyo toka tukiwa wadogo shule hadi leo, huwa namshangaa sana. Ila kwake yeye nili'note yafuatayo, yupo up'dated na matukio kama michezo, siasa n.k, kwakifupi jamaa yupo current.

Mtaani kwake akikaa anakusanya kijiji, Ofisini hivyo hivyo, mkienda sehem kama ni wageni atawakusanya hivyohivyo kwenye ukoo ndio usiseme sasa. Mfano kwenye ukoo kuna familia zinajulikana mama zao ni wa'kax sasa jamaa alikua anawamudu hao mamaza si mchezo na ukikuta anavyopiga nao stori hadi mashangazi na wazee wanashangaa.

Lakini pia ni mtu wa kutia watu moyo sana.

So nafkiri inatokea kwa mtu ambae yupo current na anajichanganya na watu rika zote katika kila hali.
 
Hizi mambo hazinaga definition Kuna mwamba tunafanya nae kazi yaan wote pale form four ni yy tu lkn anapendwa na watu wote😁 kiswahili anaongea lakn kaathiriwa na lugha mama, ni mshamba mshamba hv anaweza akaongea kitu mkacheka sana, Kuna siku tulikua tunapiga story za kupiga miti sasa Kuna jamaa akawa anaelezea jinsi anapiga 🐕style huyo mwamba akaauliza hv mdada akiinama mda wa xxnx matinginya yanaenda wapi😁😁

Kila mtu pale kazini anataka akae nae weekend anaalikwa na wadada akifanya kosa treatment yake inakua tofauti anakanywa huku boss anacheka flan sisi wengn kidogo tu ushaandikishwa barua

Haya mambo sijui n upepo binafsi hata sielew
 
Halafu huwa nawaza, hivi aina hii ya watu si wanaweza kula bure kabisa kwa hawa wanawake ambao huwa tunawahonga ?


Kwenye hapo sijui aiseee nsikudanganye! Lkn watu wa hvo ukimchukia umekwishaa sheikh 😁yaan wako kama last born wa god hv
 
Back
Top Bottom