jf user
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 777
- 623
Mimi huchukulia mitandao kama pori ambalo lina kila aina ya wanyama, wakuliwa, wasio wa kuliwa na wanyama hatari.
Ubaya Zaidi hizo namba mnazoweka humu mitandaoni huwa hazifutiki kwani hubaki milele.
Chakusangaza humu watoto, ndugu na watu wa kila aina wanapita humu wanaona uchafu humu. Hivi hujui kama wajidhalilisha ni kwa namna gani ulivyo mchafu unatafuta watu mitandaoni na kuacha namba zako bila soni?
Swala la usalama hulizingatii hujui kwamba kuna maharamia humu? ukibakwa au kufanyiwa vitendo vya kinyama utadhubutu kuja kulia shida zako hapa?
Watu mnafikiria kwa kutumia nini hivi? You are stupid kind of people i ever saw! Ubaya Zaidi mnachepuka na hamjui wake au waume zenu wapo wanawachora tuu. Mungu akianza kulipa maovu yenu mnalalamika mmesalitiwa mmefanywa nini kumbe ni malipo ya dhambi zenu!
Mjirekebishe na mjifunze mwanaume au mwanamke wa kweli haweki namba zake ovyo mitandaoni au popote pale.
Shame upon you.
Ubaya Zaidi hizo namba mnazoweka humu mitandaoni huwa hazifutiki kwani hubaki milele.
Chakusangaza humu watoto, ndugu na watu wa kila aina wanapita humu wanaona uchafu humu. Hivi hujui kama wajidhalilisha ni kwa namna gani ulivyo mchafu unatafuta watu mitandaoni na kuacha namba zako bila soni?
Swala la usalama hulizingatii hujui kwamba kuna maharamia humu? ukibakwa au kufanyiwa vitendo vya kinyama utadhubutu kuja kulia shida zako hapa?
Watu mnafikiria kwa kutumia nini hivi? You are stupid kind of people i ever saw! Ubaya Zaidi mnachepuka na hamjui wake au waume zenu wapo wanawachora tuu. Mungu akianza kulipa maovu yenu mnalalamika mmesalitiwa mmefanywa nini kumbe ni malipo ya dhambi zenu!
Mjirekebishe na mjifunze mwanaume au mwanamke wa kweli haweki namba zake ovyo mitandaoni au popote pale.
Shame upon you.