figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Habari,
Inawezekanaje kufanya mapenzi na mtu asiye na bikra halafu unajisifia umepata kifaa?
Halafu unajifanya kupendaaaa... Eti ukiachwa unapata presha, asipate presha alombikri upate wewe!!? Umama huo. Eti unaweka bifu na mwanaume mwenzio kisa chungu kinachovuja[emoji57]
Unajisikiaje kupitisha dudu yako kwenye mabaki ya njemba mwenzio? Kinyaa[emoji57]. Bado unatia Ulimi! Dunia simama nishuke.
Mtu hana bikra unamsifia kwamba kajitunza na ni mtamu.. Huo ni uongo. Siwezi sifia makombo..
Unajidai kupata demu mkali. Mungu akikufunulia waliopita hapo utakaa chini ulie. Vitoto vidogo lakini mashine zimechezewa sana.. mileage za kutosha tu. Hapa sijasema injini alizoshusha hadi hapo alipo..
Najua kweli umependa na husikii la mjumbe wala mpiga adhana, lakini kumbuka no matter how beautiful she is, someone somewhere is tired of her shit.
Inawezekanaje kufanya mapenzi na mtu asiye na bikra halafu unajisifia umepata kifaa?
Halafu unajifanya kupendaaaa... Eti ukiachwa unapata presha, asipate presha alombikri upate wewe!!? Umama huo. Eti unaweka bifu na mwanaume mwenzio kisa chungu kinachovuja[emoji57]
Unajisikiaje kupitisha dudu yako kwenye mabaki ya njemba mwenzio? Kinyaa[emoji57]. Bado unatia Ulimi! Dunia simama nishuke.
Mtu hana bikra unamsifia kwamba kajitunza na ni mtamu.. Huo ni uongo. Siwezi sifia makombo..
Unajidai kupata demu mkali. Mungu akikufunulia waliopita hapo utakaa chini ulie. Vitoto vidogo lakini mashine zimechezewa sana.. mileage za kutosha tu. Hapa sijasema injini alizoshusha hadi hapo alipo..
Najua kweli umependa na husikii la mjumbe wala mpiga adhana, lakini kumbuka no matter how beautiful she is, someone somewhere is tired of her shit.