Hivi mtu wa kawaida anatakiwa kunywa chai na vitafunwa vingapi?

Hivi mtu wa kawaida anatakiwa kunywa chai na vitafunwa vingapi?

Inategemea na kazi unazofanya, kipato, malezi na mazoea. Kwa hiyo fanya unavyoweza maana kuna kipindi cha miaka mingi sana nilikuwa sipati breakfast ila siku nilipoanza kunywa, nikaanza kuona naongezeka uzito. So ikanibidi nipunguze

Kwa hiyo angalia kwa uhalisia wako maana binadamu wote tuna standard tofauti
 
Inategemea na kazi unazofanya, kipato, malezi na mazoea. Kwa hiyo fanya unavyoweza maana kuna kipindi cha miaka mingi sana nilikuwa sipati breakfast ila siku nilipoanza kunywa, nikaanza kuona naongezeka uzito. So ikanibidi nipunguze

Kwa hiyo angalia kwa uhalisia wako maana binadamu wote tuna standard tofauti
Mzaramo au Msukuma?
 
Kipimo sahihi👇
1000025965.jpg
 
Back
Top Bottom