Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,199
inategemeana na kazi unayoifanya,uamuzi wa mwanaume,tabia ya mwanamke,...lakn kwa upande wangu mimi kutokana na kazi ninayofanya na tabia ya mwanamke wangu napenda zaidi kurudi asubuhi,akiwa mke wangu anajiandaa kwenda kazini
Majukumu hayakwepeke....ila kuwa na ratiba ya kurudi 12 kama kuku hapana...
Kurudi inakua muda wowote toka sa 11 jioni hadi saa 11 asubuhi.....
Mi narudi nyumbani pale bia ya mwisho inapoisha.
Mi narudi nyumbani pale bia ya mwisho inapoisha.
Hebu tupindue shilingi upande mwingine itakuaje?
Mmmmhhhhhhhh!
Hebu niendelee kuwasikiliza kina baba hapa ...
haya endeleeni kutwambia ni muda gani muafaka kuingia home?
]Makubwaaaaa[/COLOR]
Ninachokumbuka babu yangu aliwahi kuniambia when i was under eighteen ni kwamba mwanaume hachelewi kwake, meaning kwamba any time unaingia.kUKWAMBIA SAA NGAPI WAKATI WEWE UNARUDI ASUBUHI IGWE?
Baba hachelewagi nyumbani bana....! Na akipitia mahali, atakuwa amepitia kwake pia....! So, no limitation of time to husbands to be at home....!Jana jirani yangu wamebwatizana na mkewe kisa jamaa karudi nyumbani saa Nne usiku wakati kawaida yake saa mbili huwa anakuwa sebuleni anaangalia TV.
Nikajiuliza kwani ni haki kwa mwanaume kupangiwa na mke wake muda wa kurudi nyumbani? Muda wa mwanaume kurudi nyumbani ni upi?
Upande wa pili?
Hebu pindua wewe LF.....
By the way, haimaanishi kwamba kila siku unarudi umechelewa....mostly waweza kuwahi (kutimiza majukumu yako nyumbani)....ila kuchelewa sio mwiko....
Majukumu hayakwepeke....ila kuwa na ratiba ya kurudi 12 kama kuku hapana...
Kurudi inakua muda wowote toka sa 11 jioni hadi saa 11 asubuhi.....
usigune Lily Flower,...soma comment zangu hapo juu,halaf leta hoja...nakusubiri
Muda wa mwanaume kurudi home ni pale mke wake anaifanya home inavutia na inatamanisha kurudi home. full stop (na muda wa mke pia unategemea juhudi za mume wake)
huyo mke mkorofi
Mimi kwangu sina muda maarumu,mara 11 jioni,mara saa 2,mara saa 5,sometime saa 8 na ukiona mkeo anakupigia kelele ooooh sijui nini, toka nae na siku hiyo uhakikishe mnarudi alfajiri ili ajionee asinzie mezani aliwe na mbu akisema baba watoto twende we unamwambia subiri kidogo tu mpenzi tunaondoka sasa hivi,uone kama atarudia tena ukimwambia tena twende atakataa ila atakwambi usirudi alfajiri.
hahahahaah nimecheka mpaka basi ndo zako hizo eeh.Na unaendaga sehemu gani mwenzetu hizo zenye mbu? dah bonge la technique