Are u serious mkuu?[/QUOTE
Sure I'm serious
wenye wivu utawajua tu........Mwanaume anatakiwa kurudi home baada ya muda wa kazi kuisha. Rudi nyumbani mapema ucheze na mtoto/watoto, mle dinner pamoja na familia yako inapendeza kwa kweli.
Siwezi kupangiwa muda wa kurudi lakini ni muhimu kupita home baada ya kazi kama una mke na watoto na kama una la muhimu toka na usichelewe sana.Pia ni muhimu kutoka siku mojamoja na mkeo awajue rafiki zako na viwanja vyako hii hujenga uaminifu.Ikibidi huwezi pita home baada ya kazi piga simu mjulishe mwenzako ni kitu kidogo lakini muhimu.
Soma mada vizuri uielewe kisha uchangie
Mimi kwangu sina muda maarumu,mara 11 jioni,mara saa 2,mara saa 5,sometime saa 8 na ukiona mkeo anakupigia kelele ooooh sijui nini, toka nae na siku hiyo uhakikishe mnarudi alfajiri ili ajionee asinzie mezani aliwe na mbu akisema baba watoto twende we unamwambia subiri kidogo tu mpenzi tunaondoka sasa hivi,uone kama atarudia tena ukimwambia tena twende atakataa ila atakwambi usirudi alfajiri.
Hii ya ukweli mkuu, ila heshima baina yenu muhimu sana!Mimi kwangu sina muda maarumu,mara 11 jioni,mara saa 2,mara saa 5,sometime saa 8 na ukiona mkeo anakupigia kelele ooooh sijui nini, toka nae na siku hiyo uhakikishe mnarudi alfajiri ili ajionee asinzie mezani aliwe na mbu akisema baba watoto twende we unamwambia subiri kidogo tu mpenzi tunaondoka sasa hivi,uone kama atarudia tena ukimwambia tena twende atakataa ila atakwambi usirudi alfajiri.