Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Nimesoma uzi mmoja wa Tycoon mmoja hapa Jf, anadai utafiti wake wa miaka 22 unaonesha Mungu wa walokole ndio ana nguvu kuliko Mungu anaeabudiwa na Madhehebu mengine.
Nimejaribu kuchunguza Mifumo wanayoitumia walokole wengi 100% katika ibada zao, maombi kiujumla huwa zimejaa kelele nyingi sana (elewa maana ya kelele wala sijadhihaki mtu)
Imefikia hatua wasipokua na umeme basi ibada huwa inapoa sana makanisani mwao.
Je, Bila kelele nyingi MUNGU hawezi kuinuka na kutetea watu wake dhidi ya shetani?
Nimejaribu kuchunguza Mifumo wanayoitumia walokole wengi 100% katika ibada zao, maombi kiujumla huwa zimejaa kelele nyingi sana (elewa maana ya kelele wala sijadhihaki mtu)
Imefikia hatua wasipokua na umeme basi ibada huwa inapoa sana makanisani mwao.
Je, Bila kelele nyingi MUNGU hawezi kuinuka na kutetea watu wake dhidi ya shetani?