nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,731
- 4,271
Kwa Jinsi Jamaa alivyowakalia kooni huenda hii ikawa habari nnzuri kwa Wanajangwani endapo watasikia siku Musonye amestaafu
ama badu, ukweli unabakia palepale kwamba huyu jamaa amekaa muda mrefu sana CECAFA tangu nipo form one Tambaza
Hivi hakuna Mtz/EA wa kushika nafasi hii?
Bora aendelee ili nidhamu ya soka iwepo labda viwango tz vitapanda baada ya kuundoa Uyanga na Usimba. Musonye go go go, Move Musonye tumechoka na ngonjera.