Hivi mwanamke kufanya naye sex nakutoka damu....

Zamani mimi kama hali kama hiyo nikikumbana nayo nilikuwa nawahi kujinyunyizia spirit nione kama nimechubuka! Lol

Hahahahaha ukiona shwari unajijua upo safe komredi hii dhana zamani nilikuwa nasikia eti ukimaliza ukinyunyuzia spirit unaua vijidudu
 

Nisome tena hapo juu post no.14.
Kwa vile kuzaa ni majaaliwa na hatuwezi kusema ndio atazaa au hapana.Yatosha kusema KUWA, ili kujiridhisha sababu ya hiyo damu siyo magonjwa ya zinaa ambayo huweza kupunguza chances za kushika ujauzito, ni vizuri akawaone wataalamu wa magonjwa ya akina mama mapema.
 
mmh hii mpya kabisa sijawahi kuisikia
 
mmh hii mpya kabisa sijawahi kuisikia
Sasa wewe si wanawake wote wanapo fanya sex wanatoka damu, nimepata infomation sasa hivi kutoka kwa Dr mmoja anasema hivi; Inawezekana she may just be experiencing the stimulation from the cervix, au inawezekana kipigo kikubwa anakipata huyo msichana kutoka kwa boy friend wake :biggrin:
 
Siyo dalili nzuri hata kidogo.Mshauri akafanye pap smear - ni kipimo cha kugundua saratani.
Moja ya dalili za cancer ya shingo ya uzazi ni hiyo!

WOS,
Asante kwa kutujuza. Hii nayo ni kitu mpya kwangu.
 
Are you well endowed?
Sometimes size do matter. It can be her genital is small, and you are endowed and thrusting like you'll have her again, then she must bleed ofcoz.
 
Au li Athumani kicwa wazi lako lina kokoto na viwembe kwa mbele nini?
 
OMG!
Huyo mwanaume ana matatizo.
Unamfanya hadi damu inatoka.Uliambiwa ni ugomvi? Kama kubwa sana vaa ring special.
Utakuja kumtoa kizazi bure
 
Ulitakiwa ukaloweke kwenye maji ya moto yenye chumvi! Kumbe mzembe toka longi, Jacob Zuma ndugu yako?
Zamani mimi kama hali kama hiyo nikikumbana nayo nilikuwa nawahi kujinyunyizia spirit nione kama nimechubuka! Lol
 
Wewe unajua stimulation ya cervix? Ukigusa cervix hilo yowe atakalotoa mtaa wa tatu watakuja kama sio patrol car ya polisi!
 
Au li Athumani kicwa wazi lako lina kokoto na viwembe kwa mbele nini?
Hahaha unachekesha sana yani mwanamke ukifanya nae sex na kutoka damu lazima mwanaume uwe una viwembe mbele :biggrin:
 
Ana miaka mingapi? ana dalili zingine kama kutokwa na maji machafu ukeni,kiuno kuuma,kuskia maumivu wakati wa mambo yetu,hedhi zake je anapata kawaida? na hiyo damu huwa inatoka kila anapofanya au? kutokwa damu baada ya sex siyo kawaida labda tu mschana anapotolewa bikira au akiwa kwenye cku zake na mara chache sana vaginal trauma during coitus japo hatutegemei damu iwe kiasi kingi hvo.kuna magonjwa mengi yanayosababisha postcoital bleeding as already mentioned above so ushauri wangu aonane na daktari kwa maelezo zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…