Hivi mwanamke unapata wapi ujasiri wa kumuomba penzi mwanaume ambaye si mpenzi wako?

🤣🤣🤣🤣🤣kwani wewe umeusahau uzi wako🤣🤣
 
Ukishajijua we ni gentle and handsome wala uwezi sumbuka na wanawake wanatuliliaga vibaya mno but ndo kwanza hatuna time nao absolutely...
 
Kwan ajabu nn,ni ugomvi nao huo.....si mnapeana then kila mtu asambae akalale na kula kwao....au kaomba na ya kutolea?
 
Ukishajijua we ni gentle and handsome wala uwezi sumbuka na wanawake wanatuliliaga vibaya mno but ndo kwanza hatuna time nao absolutely...
Aisee, kama ana nia njema na mimi, basi ni jambo la kumshukuru Mola. Wacha na wenzie wajisogeze, hakuna namna
 
Kwan ajabu nn,ni ugomvi nao huo.....si mnapeana then kila mtu asambae akalale na kula kwao....au kaomba na ya kutolea?
Lakini si alikuwa tayari kashatongozwa na wanaume wengine wengi? Kwani kati yao hajaona mtu wa kumchakata hiyo mbususu?

Asije akawa anataka kunikomoa kwa sababu ya kutokumshobokea na litako lake, mwishowe akaniunganishia waya bure, nikafa mapema
 
Hamnaaa ingia tu kwenye database ya Taifa....
Awee[emoji23][emoji23]
Mambo ya kutwa mara tatu mie siyawezi. Naskia yale mavidonge ukianza kuyatandika, unaanza kupata ndoto za mapambio, kwamba uko zako bustani ya Edeni na maraika mnalisakata Rumba, ni mwendo wa Abieeeeeeee[emoji443]
 
Awee[emoji23][emoji23]
Mambo ya kutwa mara tatu mie siyawezi. Naskia yale mavidonge ukianza kuyatandika, unaanza kupata ndoto za mapambio, kwamba uko zako bustani ya Edeni na maraika mnalisakata Rumba, ni mwendo wa Abieeeeeeee[emoji443]
Ndy ujifunze kulinda hizo kengele zako.......
 
Ndy ujifunze kulinda hizo kengele zako.......
Na kweli, kwa sababu hakunaga pisi kali inayotafuta ukuni. Bali kuni ndizo hutafuta mahali swaafi pa kukojolea. Hata kama hakuwa na nia mbaya inambidi aache mara moja, huu utamaduni sio wa kwetu aisee
 
Poa,,filamu inaitwaje ?,nami nikaicheki.
 
Asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…