Hivi mwanaume kamili unawezaje kuishi bila mke?

Hivi mwanaume kamili unawezaje kuishi bila mke?

Zero Competition

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2018
Posts
347
Reaction score
553
Zamani nilivyokua naishi msela nilikua naona jambo la kawaida tu ila baada ya kuoa naona tabu sana kulala mwenyewe , yaani wife akisafiri siku tatu au wiki naona kama mwaka.

Nishazoea kushtua na wife kabla sijalala sasa nikiwa mwenyewe napata tabu sana ingawa kuna siku nyingine sijiskii hamu ya kushiriki tendo sema wife kama anajiskia huwa nampa haki yake hata kama mimi sikua kwenye mood ya kushiriki.

Ukiwa na mke ndani kunaokoa sana pesa maana wanawake wa nje wale wa tuma nauli au tuma na yakutolea ni gharama sana, akija kwako lazima ale na umpe na pocket money kitu ambacho ni tofauti na ukiwa umeoa mana hata siku ukiwa huna pesa bado wife hawezi kukubania kukupa haki ya ndoa.

Mwanaume unawezaje kuishi bila mke wakati una ajira ya kuweza kutunza mke?
 
Haya tuzo yako hii, kutoka KATAA NDOA AWARDS.
Kipengele Cha: biggest simp of the year.
FB_IMG_17335570949499232.jpg
 
Dhamani nilivyokua naishi msela nilikua naona jambo la kawaida tu ila baada ya kuoa naona tabu sana kulala mwenyewe , yani wife akisafiri siku tatu au wiki naona kama mwaka.

Nishazoea kushtua na wife kabla sijalala sasa nikiwa mwenyewe napata tabu sana ingawa kuna siku nyingine sijiskii hamu ya kushiriki tendo sema wife kama anajiskia huwa nampa haki yake hata kama mimi sikua kwenye mood ya kushiriki.

Ukiwa na mke ndani kunaokoa sana pesa mana wanawake wa nje wale wa tuma nauli au tuma na yakutolea ni gharama sana mana akija kwako lazima ale na umpe na pocket money kitu ambacho ni tofauti na ukiwa umeoa mana hata siku ukiwa huna pesa bado wife hawezi kukubania kukupa haki ya ndoa.

Mwanaume unawezaje kuishi bila mke wakati una ajira ya kuweza kutunza mke ?
Dhamani ndo alikuwa X wako
 
Mwanaume unawezaje kuishi bila mke wakati una ajira ya kuweza kutunza mke?
Ya nini ufuge ng'ombe, ikiwa uwezekano wa kupata nyama na maziwa upo?

Ng'ombe akiumwa,nimlete daktari.

Ng'ombe akisikia njaa, nimlishe.

Na kuna siku Ng'ombe anaweza tu akajisikia asitoe maziwa na nisiwe na uwezo wa kumfanya chochote.

WTF
 
Ya nini ufuge ng'ombe, ikiwa uwezekano wa kupata nyama na maziwa upo?

Ng'ombe akiumwa,nimlete daktari.

Ng'ombe akisikia njaa, nimlishe.

Na kuna siku Ng'ombe anaweza tu akajisikia asitoe maziwa na nisiwe na uwezo wa kumfanya chochote.

WTF
Mapenzi tunapata ila atuna mpenzi😄
 
Kama unaweza kula maembe na haujapanda mwembe unaupanda ili iweje 🤔
 
Back
Top Bottom