Hivi mwanaume kamili unawezaje kuishi bila mke?

Hivi mwanaume kamili unawezaje kuishi bila mke?

Inawezekana ni kutune akili yako tu.. au ukishapigwa na kitu kizito umuhimu wakua nao hawa unapotea.
Ukishapigwa na kitu kizito
Moyo unaingia ganziii
Unapoteza kabisa hamu na hitaji la ndoa.

Some broken hearts never mend
 
Mbona wengine wake zao wapo ila visingizio mpaka mwaka unakatika halafu bila kumgusa mkewe, ila sasa wanavyopenda kuhudumiwa sasa, lakini yeye akiulizwa ugomwi😃😃😃
 
Zamani nilivyokua naishi msela nilikua naona jambo la kawaida tu ila baada ya kuoa naona tabu sana kulala mwenyewe , yaani wife akisafiri siku tatu au wiki naona kama mwaka.

Nishazoea kushtua na wife kabla sijalala sasa nikiwa mwenyewe napata tabu sana ingawa kuna siku nyingine sijiskii hamu ya kushiriki tendo sema wife kama anajiskia huwa nampa haki yake hata kama mimi sikua kwenye mood ya kushiriki.

Ukiwa na mke ndani kunaokoa sana pesa maana wanawake wa nje wale wa tuma nauli au tuma na yakutolea ni gharama sana, akija kwako lazima ale na umpe na pocket money kitu ambacho ni tofauti na ukiwa umeoa mana hata siku ukiwa huna pesa bado wife hawezi kukubania kukupa haki ya ndoa.

Mwanaume unawezaje kuishi bila mke wakati una ajira ya kuweza kutunza mke?
Jinsi ulivyokuwa unaishi zaman ndivyo wanavyoishi sasa.
Kuna jela na kuachana. Kuna jamaa alikuwa ameoa, anashangaa kwanini watu hawaoi.
Sasa hivi yupo single na hataki tena kuoa
 
Zamani nilivyokua naishi msela nilikua naona jambo la kawaida tu ila baada ya kuoa naona tabu sana kulala mwenyewe , yaani wife akisafiri siku tatu au wiki naona kama mwaka.

Nishazoea kushtua na wife kabla sijalala sasa nikiwa mwenyewe napata tabu sana ingawa kuna siku nyingine sijiskii hamu ya kushiriki tendo sema wife kama anajiskia huwa nampa haki yake hata kama mimi sikua kwenye mood ya kushiriki.

Ukiwa na mke ndani kunaokoa sana pesa maana wanawake wa nje wale wa tuma nauli au tuma na yakutolea ni gharama sana, akija kwako lazima ale na umpe na pocket money kitu ambacho ni tofauti na ukiwa umeoa mana hata siku ukiwa huna pesa bado wife hawezi kukubania kukupa haki ya ndoa.

Mwanaume unawezaje kuishi bila mke wakati una ajira ya kuweza kutunza mke?
Mwanaume mwenye upeo na kujiamini unashindwaje kuishi bila mwanamke? Lakini ukawa na watoto idadi unayoimidu
 
Ukichunguza vizuri mtoa mada ni mpenda kitonga mwenye kithembe
 
Vijana wanaona wepesi ni kununua nyama buchani na sio kufuga ng'ombe....
Wanasema kufuga ng'ombe kuna gharama kubwa kuliko kununua kilo yako moja ukanywa mchuzi maana sio kila siku utahitaji kula nyama......
 
Back
Top Bottom