makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Ukishapigwa na kitu kizitoInawezekana ni kutune akili yako tu.. au ukishapigwa na kitu kizito umuhimu wakua nao hawa unapotea.
We kuruti, wahi lindoniUkishapigwa na kitu kizito
Moyo unaingia ganziii
Unapoteza kabisa hamu na hitaji la ndoa.
Some broken hearts never mend
Rais wa majobless promaxWe kuruti, wahi lindoni
Naam, huja kosea niite raisi wa ma jobless pro max .Rais wa majobless promax
LINDOni nakuja
Jinsi ulivyokuwa unaishi zaman ndivyo wanavyoishi sasa.Zamani nilivyokua naishi msela nilikua naona jambo la kawaida tu ila baada ya kuoa naona tabu sana kulala mwenyewe , yaani wife akisafiri siku tatu au wiki naona kama mwaka.
Nishazoea kushtua na wife kabla sijalala sasa nikiwa mwenyewe napata tabu sana ingawa kuna siku nyingine sijiskii hamu ya kushiriki tendo sema wife kama anajiskia huwa nampa haki yake hata kama mimi sikua kwenye mood ya kushiriki.
Ukiwa na mke ndani kunaokoa sana pesa maana wanawake wa nje wale wa tuma nauli au tuma na yakutolea ni gharama sana, akija kwako lazima ale na umpe na pocket money kitu ambacho ni tofauti na ukiwa umeoa mana hata siku ukiwa huna pesa bado wife hawezi kukubania kukupa haki ya ndoa.
Mwanaume unawezaje kuishi bila mke wakati una ajira ya kuweza kutunza mke?
Mwanaume mwenye upeo na kujiamini unashindwaje kuishi bila mwanamke? Lakini ukawa na watoto idadi unayoimiduZamani nilivyokua naishi msela nilikua naona jambo la kawaida tu ila baada ya kuoa naona tabu sana kulala mwenyewe , yaani wife akisafiri siku tatu au wiki naona kama mwaka.
Nishazoea kushtua na wife kabla sijalala sasa nikiwa mwenyewe napata tabu sana ingawa kuna siku nyingine sijiskii hamu ya kushiriki tendo sema wife kama anajiskia huwa nampa haki yake hata kama mimi sikua kwenye mood ya kushiriki.
Ukiwa na mke ndani kunaokoa sana pesa maana wanawake wa nje wale wa tuma nauli au tuma na yakutolea ni gharama sana, akija kwako lazima ale na umpe na pocket money kitu ambacho ni tofauti na ukiwa umeoa mana hata siku ukiwa huna pesa bado wife hawezi kukubania kukupa haki ya ndoa.
Mwanaume unawezaje kuishi bila mke wakati una ajira ya kuweza kutunza mke?
Bora kukaa na lidoli la Elon Musk, lina behave in a customized way to your testWanawake wa kuoa kwa sasa hawapo labda sayari zingine huko!
Kwahiyo hicho kiwanda unakitengenezea wapi?Mwanaume mwenye upeo na kujiamini unashindwaje kuishi bila mwanamke? Lakini ukawa na watoto idadi unayoimidu
Use u'r common senseKwahiyo hicho kiwanda unakitengenezea wapi?
Kwahiyo hao watoto unataka wapatikane vipi! Kuna mwanamke anapenda kuzalishwa tu n mtoto kuchukuliwa?Use u'r common sense