mzaza
Member
- Mar 13, 2014
- 95
- 84
Habari zenu wanajamvi,
Ni miaka 8 sasa tangu nioane na mke wangu na tuna watoto watatu. Kwa ufupi tunaishi kwa amani sana. Tumejiwekea utaratibu kila mwisho wa mwaka huwa nachukua likizo na tunaenda na familia kijijini kwetu.
Mwaka huu amenikazia amesema inabidi twende nyumban kwao katika kipindi cha likizo(December). Kusema kweli familia yake(wakwe zangu) wako supportive sana na kusema kweli nawakubali. Binafsi napata kakigugumizi kumkubalia na kumkatalia wife.
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu..
Ni miaka 8 sasa tangu nioane na mke wangu na tuna watoto watatu. Kwa ufupi tunaishi kwa amani sana. Tumejiwekea utaratibu kila mwisho wa mwaka huwa nachukua likizo na tunaenda na familia kijijini kwetu.
Mwaka huu amenikazia amesema inabidi twende nyumban kwao katika kipindi cha likizo(December). Kusema kweli familia yake(wakwe zangu) wako supportive sana na kusema kweli nawakubali. Binafsi napata kakigugumizi kumkubalia na kumkatalia wife.
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu..