Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mama mkwe si alikuwa anajipendekeza, mimi nilikuwa sivungi, wakileta kabakuri kamejaa nyama namaliza zote halafu nakunywa na mchuzi..
Halafu kwenye stori mbili tatu na mama mkwe naanza kuchomekea, " kwa kweli mama mi napenda sana nyama ya kuku".
Niliwaacha hawana hamu na mimi, hadi leo waifu nikimwambia tukasalimie kwao anaanza kunichenga chenga...