Hivi mwanaume unaweza kutenga siku kadhaa za likizo ukazitumia ukweni?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Uko vizuri sana
 
Sidhani kama kulala ukweni Kuna shida sema tu jamii zetu Zina ukakasi. Mie pia siwezi lala ukweni, kifupi sipendi hata kulala kwa ndugu. .

Uchagani ni mwiko kulala ukweni, kwanza nk matusi makubwa. Hata mke wangu haruhusiwi kulala kwao labda atokee mikoa ya mbali au Kuna shida kubwa mfano msiba na hata msiba kama ana uwezekano wa kurudi nyumbani anarudi. .
 
Sidhani kama kulala ukweni Kuna shida sema tu jamii zetu Zina ukakasi. Mie pia siwezi lala ukweni, kifupi sipendi hata kulala kwa ndugu. .

Uchagani ni mwiko kulala ukweni, kwanza nk matusi makubwa. Hata mke wangu haruhusiwi kulala kwao labda atokee mikoa ya mbali au Kuna shida kubwa mfano msiba na hata msiba kama ana uwezekano wa kurudi nyumbani anarudi. .
 
Nimecheka,, ni kama namuona jamaa anapigwa mkwara na mama mkwe vile..
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee nimecheka balaa
 
Hakuna shida Mkuu,nenda ...N inaonekana Mungu amakujalia wakwe wema ...kama mazingira sio mazuri,unaweza kulala lodge ikibidi. Binafsi huwa naenda,nakula na mzigo kabisa...nakaa siku mbili tatu then nasepa,namwacha na watoto kwa muda mtakaokubalina kama familia...then unakuja kuwachukua...ofkoz huwezi kukaa mda mrefu ukweni,kunaboa unakua huna ishu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…