Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,224
- 1,250
kweli tembea uoneNijuavyo ulimwa baharini mwanzoni siyo deep, ulimwa ama kuvunwa maji ya bahari yakiwa yametoka
Vijiti kufungwa kamba kwenye hizo kamba ndiyo unapandwa kwa kufungwa hili usiende na maji
View attachment 640800
Mwani ni zao linalolimwa kando kando ya bahari, hua unatoa 'fibre' ambazo hutumika kuzalisha bidhaa mbali mbali kama zitumukavyo 'fibre' za mkonge. Kuna mTanzania mwenzetu (Bi.Semesi; r.i.p) kama sikosei alishinda nobel prize kwa utafiti wake aliofanya juu ya zao la mwani.[/QUO
halioti zaidi ya baharini
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]nijuavyo mimi ni umoja wa miwani
yaani hicho kioo cha jicho moja
bei yake ni ndogo sana?Nilipigaga hiyo deal huko mafia shida Ilikuwa bei yake sokoni
Inatumika kutengeneza manila pia
Ova
Sana.....nimefanya hiyo project mafia huko zao hilo linalimwa sana baharini,Wakina Mama ndy wadau wakubwa wa kuifanya kazi hiyobei yake ni ndogo sana?
Kweli kabisa umenikumbusha zanzibar (bwejuu) ndio ilikua mara yangu ya kwanzakuona hili zaoNijuavyo ulimwa baharini mwanzoni siyo deep, ulimwa ama kuvunwa maji ya bahari yakiwa yametoka
Vijiti kufungwa kamba kwenye hizo kamba ndiyo unapandwa kwa kufungwa hili usiende na maji
View attachment 640800
Aiseeeee......[emoji15] [emoji15] [emoji15]nijuavyo mimi ni umoja wa miwani
yaani hicho kioo cha jicho moja
Mwani ni zao linalolimwa kando kando ya bahari, hua unatoa 'fibre' ambazo hutumika kuzalisha bidhaa mbali mbali kama zitumukavyo 'fibre' za mkonge. Kuna mTanzania mwenzetu (Bi.Semesi; r.i.p) kama sikosei alishinda nobel prize kwa utafiti wake aliofanya juu ya zao la mwani.
Ndio, vipi kwani?