Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,224
- 1,250
Habarini wadau,
Ninaomba kuuliza MWANI ni zao gani maana nimeanza kulisikia muda na wanalitumia kwanini, ni kwa chakula au nini?
Natanguliza shukrani.
Ninaomba kuuliza MWANI ni zao gani maana nimeanza kulisikia muda na wanalitumia kwanini, ni kwa chakula au nini?
Natanguliza shukrani.