Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
- Thread starter
- #21
Usimuamini mwanaccm aliye hai hata akifa ni mpaka mkisha mzika.Wana CCM wa siku nyingi ni wezi mwenyekiti yupo sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimuamini mwanaccm aliye hai hata akifa ni mpaka mkisha mzika.Wana CCM wa siku nyingi ni wezi mwenyekiti yupo sawa
Ni lini kilaza akajua Ndugu yangu. Huyu ni kilaza kweli basi kadondokewq na embe chini ya mnaziKwakua ni swali naweka kwa kifupi, CCM imechukua wanachama wengi wa Chadema na kuwapa uongozi wa juu serikalini, cha ajabu mwenyekiti huyo anayewapokea na kuwateua huku akiwaacha wananaccm wa siku nyingi anadai kuwa Chadema bado wachanga! Sasa hapa nani mchanga kati ya mwenyeji(CCM) na mgeni (Chadema)?
mungu wao!Ni lini kilaza akajua Ndugu yangu. Huyu ni kilaza kweli basi kadondokewq na embe chini ya mnazi
Mmm!Kiufupi hana akili
Kwanza huwa unamwelewa?Kwakua ni swali naweka kwa kifupi, CCM imechukua wanachama wengi wa Chadema na kuwapa uongozi wa juu serikalini, cha ajabu mwenyekiti huyo anayewapokea na kuwateua huku akiwaacha wananaccm wa siku nyingi anadai kuwa Chadema bado wachanga! Sasa hapa nani mchanga kati ya mwenyeji(CCM) na mgeni (Chadema)?
Kweli hela imekata wala sio uongoHela imekata, kachanganyikiwa.
Msiwachukulie poa TanzaniaLeaks
Wengine hudhani madini yanapatikana kama vile tufanyavyo kwenda kwa sonara na kununua.Hamna kitu kichwani pale, tumepigwa kama Taifa!.
Eti juzi namsikia anawaambia TANAPA waruhusu madini kuchimbwa mbugani kwakuwa Simba na tembo hawayali madini yaliyomo ardhini!!.
Utetezi kama wa mtoto mdogo kabisa, anazijua vizuri hekaheka za migodi kweli huyu??. Si wanyama watahama wote kwa ma blasting.
Hata hivyo Serengeti imo kwenye orodha za urithi wa Dunia chini ya UNESCO, hawawezi ruhusu huo upuuzi!!.
Wachanga huku mnachukua viongozi wake na kuwapa vyeo.Loo! safari hii kazi pevu ukiona mpaka Msigwa kitumika lakini ngoma bado mbichi.Chadema kama taasisi bado ni wachanga, kama rufaa ya Msigwa imechukua muda mrefu hivyo, kama sio uchanga mi nini?
Kesi ya akina Mdee wameiendesha hovyo hovyo mpaka wanawafukuza. Chama kilochokomaa hakiwezi kufanya uonevu wa waziwazi tena kwa wanawake