Hivi mwenyekiti wa CCM huwa anajua anachokiongea?

Ni lini kilaza akajua Ndugu yangu. Huyu ni kilaza kweli basi kadondokewq na embe chini ya mnazi
 
Kwanza huwa unamwelewa?
 
Wengine hudhani madini yanapatikana kama vile tufanyavyo kwenda kwa sonara na kununua.
 
Mtoto mchanga ndiye Huwa anarubunika Kwa pipi, andazi, mdoli. Sasa hujaelewa nn hapo kuhusu kauli ya mama
 
Wachanga huku mnachukua viongozi wake na kuwapa vyeo.Loo! safari hii kazi pevu ukiona mpaka Msigwa kitumika lakini ngoma bado mbichi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…