G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Bila shaka ,ubora wa Biashara utd ni Mara mia ya UTOPOLOTuambieni kitakachowafanya muwe Mbele ya Biashara, kama haitakuwa uonevu, miaka minne sasa hamjawahi kuvuna point hata moja, hebu njooni na mapovu yenu mtwambie iweje muwe Mbele ya Biashara kwenye Ranking ya CAF ya Vilabu?
Nenda kwa jirani ukajisaidie....naona umebanwa.Tuambieni kitakachowafanya muwe Mbele ya Biashara, kama haitakuwa uonevu, miaka minne sasa hamjawahi kuvuna point hata moja, hebu njooni na mapovu yenu mtwambie iweje muwe Mbele ya Biashara kwenye Ranking ya CAF ya Vilabu?
Mbona Uto leo wanafuraha kisa wao ndio wameingiza mashabiki wengi.Sasa unadhani Biashara FC watafurahi kuweka "ranks" kwenye kabati lao ya makombe.?
View attachment 1948822
Uto Kama Uto tumefurahi mara 27 zaidi ya Klabu yeyote ile, Aliyezoea kufurahi mara zote hizo ni lazima awe mwenye furaha wakati wote.Mbona Uto leo wanafuraha kisa wao ndio wameingiza mashabiki wengi.
Unajua hata Yanga Kwa sasa Hana point, Ila Biashara amemzidi Kwa kushinda mechi 2 za mtoano Kwa hiyo unafikir Nani atakuwa Mbele ya mwenzake?Biashara wakifanikiwa kuingia makundi watapata point ila wasipoingia makundi watakuwa hawana point kabisa.
Kama 84 hiviKwani Uto kwasasa wapo nafasi ya ngapi?
Niliandika pale mwanzo kuwa uto Kama uto povu ruksa, sema kingine uto!Nenda kwa jirani ukajisaidie....naona umebanwa.
Hahahaha sawa sawaUto Kama Uto tumefurahi mara 27 zaidi ya Klabu yeyote ile, Aliyezoea kufurahi mara zote hizo ni lazima awe mwenye furaha wakati wote.
You are Welcome!
Nenda ukajifunze namna 5 year club ranking inavyofanywa. Point inahesabiwa baada ya kuingia hatua ya makundi. Ukiingia hatua ya makundi shirikisho na ukashika nafasi ya mwisho kwenye kundi unapata point 0.5 na endapo utashika nafasi ya tatu unapata point 1. Ukiweza kuingia robo fainali (nafasi ya kwanza au ya pili) unapata point 2.. ukiingia nusu fainali unapata point 3 ukiwa mshindi wa pili unapata point 4 na ukibeba kombe unapata point 5. Hizi point zinazidishwa kwa tano ndio unapata point kamili kwa msiimu husika.Unajua hata Yanga Kwa sasa Hana point, Ila Biashara amemzidi Kwa kushinda mechi 2 za mtoano Kwa hiyo unafikir Nani atakuwa Mbele ya mwenzake?
Halafu hiyo Biashara yako ikiwa mbele kwenye hizo ranking za CAF ya Vilabu, kutaleta madhara/athari kwa timu kubwa kama Yanga?Tuambieni kitakachowafanya muwe Mbele ya Biashara, kama haitakuwa uonevu, miaka minne sasa hamjawahi kuvuna point hata moja, hebu njooni na mapovu yenu mtwambie iweje muwe Mbele ya Biashara kwenye Ranking ya CAF ya Vilabu?
Hamzidi Luc aliyesema Yanga ni kundi la nyani katika pori la UtopoloHalafu hiyo Biashara yako ikiwa mbele kwenye hizo ranking za CAF ya Vilabu, kutaleta madhara/athari kwa timu kubwa kama Yanga?
Hakika Ismail Aden Rage is a genius!
Umemmaliza mkuuHamzidi Luc aliyesema Yanga ni kundi la nyani katika pori la UtopoloView attachment 1949181
Ndiyo Ukweli WenyeweTuambieni kitakachowafanya muwe Mbele ya Biashara, kama haitakuwa uonevu, miaka minne sasa hamjawahi kuvuna point hata moja, hebu njooni na mapovu yenu mtwambie iweje muwe Mbele ya Biashara kwenye Ranking ya CAF ya Vilabu?
Je, umezingatia pia hizo 5 years, Yanga Hana point hata moja aliyoingiza?Nenda ukajifunze namna 5 year club ranking inavyofanywa. Point inahesabiwa baada ya kuingia hatua ya makundi. Ukiingia hatua ya makundi shirikisho na ukashika nafasi ya mwisho kwenye kundi unapata point 0.5 na endapo utashika nafasi ya tatu unapata point 1. Ukiweza kuingia robo fainali (nafasi ya kwanza au ya pili) unapata point 2.. ukiingia nusu fainali unapata point 3 ukiwa mshindi wa pili unapata point 4 na ukibeba kombe unapata point 5. Hizi point zinazidishwa kwa tano ndio unapata point kamili kwa msiimu husika.
Ndio maana namungo wwliongezea taifa point kwavile tu waliingia hatua ya makundi.
Kwahiyo Biashara hata kama wameshinda mechi zao mbili bado hana point yoyote mpaka atakavyofuzu kuingia hatua ya makundi. 5 year club ranking sio swala kushinda tu bali inaanzia kuhesabika baada ya kuingia hatua ya makundi