G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Tuambieni kitakachowafanya muwe Mbele ya Biashara, kama haitakuwa uonevu, miaka minne sasa hamjawahi kuvuna point hata moja, hebu njooni na mapovu yenu mtwambie iweje muwe Mbele ya Biashara kwenye Ranking ya CAF ya Vilabu?