Hivi Mzee Baba huwa anasoma comments kule twitter baada ya kuandika tweets zake?

Hivi Mzee Baba huwa anasoma comments kule twitter baada ya kuandika tweets zake?

Kwakweli ukipitia comments kila Mheshimiwa Sana anapo-tweet,unapata picha jinsi watu walivyo na machungu na hasira juu yake.

Swali ni je,Mheshimiwa Sana huwa anapitia hizo comments?

Na vijana wa Lumumba mbona hawajitokezi walau ku-balance equilibrium?

Kama anapitia, anajifunza mini?

Yaani asilimia zaidi ya 97 ni negative tu tena zenye lugha kali kabisa.

Mzee Baba, uje hivi ndivyo utakumbukwa maana jiulize watu hawa watasema nini siku ukitangulia mbele za haki kama leo uko hai ila comments ndio hizo?

Ushauri:Tumia kipindi hiki cha mwisho kujirekebisha japo huwezi ponyesha majeraha yaliyoko katika nafsi za watu ili walau upate mema machache ya kuongelewa vizuri.

Note:Unaesemwa vibaya zaidi ni wewe tu ila wanaokushangilia na kukusifu kwa kila jambo wao wala hawatajwi, na kama ni kutajwa, basi ni kidogo sana, hivyo ujue lawama zote utabeba peke yako.

Duniani tunapita jamani,tutende haki.
Eti leo alimwandika Rais wa Ghana "Lawlings" badala ya "Rawlings"(R.I.P)

Watu wakampa za Uso akadelete tweet fasta...nikasema Mtu unakuwaje Kiongozi mkubwa wa nchi halaf huna heshima kwa majina ya Marais wenzio? Kwa Hakika hapa nchi ilipatikana
 
Mleta mada mbona unakuwa Kama siyo mkazi wa Tanzania bhana,
Tembelea akaunti za Yanga utakuta wanao comment wengi Ni watu wa Simba Tena kwa matusi na kejeri na matusi.

Tembelea akaunti za Simba utakuta Wana Yanga ndo wapo active ku comment Tena kwa matusi na kejeli.

Naomba kuishia hapo nafikri utakuwa umenielewa.
Ila sasa tukirudi kwenye siasa vijana wanaoishambulia chadema mitandaoni ni wale tu wanaoliipwa wana group lao WhatsApp admin wao anawafundisha wawe wanareply negative comment za magufuli na kusifia zaidi kwenye page zenye wafuasi wengi Facebook
 
Kwakweli ukipitia comments kila Mheshimiwa Sana anapo-tweet,unapata picha jinsi watu walivyo na machungu na hasira juu yake.

Swali ni je,Mheshimiwa Sana huwa anapitia hizo comments?

Na vijana wa Lumumba mbona hawajitokezi walau ku-balance equilibrium?

Kama anapitia, anajifunza mini?

Yaani asilimia zaidi ya 97 ni negative tu tena zenye lugha kali kabisa.

Mzee Baba, uje hivi ndivyo utakumbukwa maana jiulize watu hawa watasema nini siku ukitangulia mbele za haki kama leo uko hai ila comments ndio hizo?

Ushauri:Tumia kipindi hiki cha mwisho kujirekebisha japo huwezi ponyesha majeraha yaliyoko katika nafsi za watu ili walau upate mema machache ya kuongelewa vizuri.

Note:Unaesemwa vibaya zaidi ni wewe tu ila wanaokushangilia na kukusifu kwa kila jambo wao wala hawatajwi, na kama ni kutajwa, basi ni kidogo sana, hivyo ujue lawama zote utabeba peke yako.

Duniani tunapita jamani,tutende haki.
Sisi watanzania tulio mamilioni tunavuta mizani hiyo kwa kura zetu kwenye box. 12.5milioni kwa 1.9 milioni. Ni zaidi ya equlibrium. Nyie endeleeni kutaka ku-balance equilibrium kwenye twitter mlio citizen wa twitter. Watanzania kwa mamilioni yetu tunaendelea kwa furaha na Mheshimiwa wetu JPM mitaani
 
Jamii forum inawatumiaji wengi kuliko Twitter TZ hilo ni kundi chache sana la watu wasiojitambua na sio watz wengi wana hasira,
JPM is the choosen 1 tutakuja kukili akimaliza muda wake
The guy is sick! Believe me or not!
 
Kwakweli ukipitia comments kila Mheshimiwa Sana anapo-tweet,unapata picha jinsi watu walivyo na machungu na hasira juu yake.

Swali ni je,Mheshimiwa Sana huwa anapitia hizo comments?

Na vijana wa Lumumba mbona hawajitokezi walau ku-balance equilibrium?

Kama anapitia, anajifunza mini?

Yaani asilimia zaidi ya 97 ni negative tu tena zenye lugha kali kabisa.

Mzee Baba, uje hivi ndivyo utakumbukwa maana jiulize watu hawa watasema nini siku ukitangulia mbele za haki kama leo uko hai ila comments ndio hizo?

Ushauri:Tumia kipindi hiki cha mwisho kujirekebisha japo huwezi ponyesha majeraha yaliyoko katika nafsi za watu ili walau upate mema machache ya kuongelewa vizuri.

Note:Unaesemwa vibaya zaidi ni wewe tu ila wanaokushangilia na kukusifu kwa kila jambo wao wala hawatajwi, na kama ni kutajwa, basi ni kidogo sana, hivyo ujue lawama zote utabeba peke yako.

Duniani tunapita jamani,tutende haki.
Yaani......huyu mtu utafikiri haji kufa na kuoza!

Viongozi wa dini wanamuangalia tu anavyotuaribia nchi yetu!
 
Kwakweli ukipitia comments kila Mheshimiwa Sana anapo-tweet,unapata picha jinsi watu walivyo na machungu na hasira juu yake.

Swali ni je,Mheshimiwa Sana huwa anapitia hizo comments?

Na vijana wa Lumumba mbona hawajitokezi walau ku-balance equilibrium?

Kama anapitia, anajifunza mini?

Yaani asilimia zaidi ya 97 ni negative tu tena zenye lugha kali kabisa.

Mzee Baba, uje hivi ndivyo utakumbukwa maana jiulize watu hawa watasema nini siku ukitangulia mbele za haki kama leo uko hai ila comments ndio hizo?

Ushauri:Tumia kipindi hiki cha mwisho kujirekebisha japo huwezi ponyesha majeraha yaliyoko katika nafsi za watu ili walau upate mema machache ya kuongelewa vizuri.

Note:Unaesemwa vibaya zaidi ni wewe tu ila wanaokushangilia na kukusifu kwa kila jambo wao wala hawatajwi, na kama ni kutajwa, basi ni kidogo sana, hivyo ujue lawama zote utabeba peke yako.

Duniani tunapita jamani,tutende haki.
Nyani ghabo anakuita uende kwenye uzi aliokuanzishia WEWE na raia wenzako wa 'Jamhuri ya Twitter'. Nakuhurumia unavyoshinda mitandoni ukitoa povu za pumba
 
Inakuaje Kuna nyuzi(threads) humu zina views Million 1 na zaidi ?

Thread ili ifikishe viewers Milion moja humu inachukua muda gani, na inakuwa ya content ya namna gani..!?
 
Jamii forum inawatumiaji wengi kuliko Twitter TZ hilo ni kundi chache sana la watu wasiojitambua na sio watz wengi wana hasira,
JPM is the choosen 1 tutakuja kukili akimaliza muda wake
Hayo ni kwa wanufaika lakini
 
Jipeni moyo wa ujinga hivyo hivyo , mnamproteza jiwe. siku akija kujua ukweli atakatika kama barafu
 
Endeleeni kushindana twita mtashika dola.
Trump mwenyewe mnaemlilia baada ya kuliwa kichwa, matamko na amri zake anazitoa kupitia Twitter.

Sema ni ushamba wetu tu kuamini kwamba Twitter siyo platforms sahihi kwa viongozi na watawaliwa hapa bara la giza!
 
Wanapoteza muda kupiga majungu hakuna free lunch watu wafanye kazi, zipo shughuli nyingi tuu za kufanya kukaa mitandaoni na kutukana hakusaidii kitu.
 
Kwakweli ukipitia comments kila Mheshimiwa Sana anapo-tweet,unapata picha jinsi watu walivyo na machungu na hasira juu yake.

Swali ni je,Mheshimiwa Sana huwa anapitia hizo comments?

Na vijana wa Lumumba mbona hawajitokezi walau ku-balance equilibrium?

Kama anapitia, anajifunza mini?

Yaani asilimia zaidi ya 97 ni negative tu tena zenye lugha kali kabisa.

Mzee Baba, uje hivi ndivyo utakumbukwa maana jiulize watu hawa watasema nini siku ukitangulia mbele za haki kama leo uko hai ila comments ndio hizo?

Ushauri:Tumia kipindi hiki cha mwisho kujirekebisha japo huwezi ponyesha majeraha yaliyoko katika nafsi za watu ili walau upate mema machache ya kuongelewa vizuri.

Note:Unaesemwa vibaya zaidi ni wewe tu ila wanaokushangilia na kukusifu kwa kila jambo wao wala hawatajwi, na kama ni kutajwa, basi ni kidogo sana, hivyo ujue lawama zote utabeba peke yako.

Duniani tunapita jamani,tutende haki.
Kwani umeshafanya 'Utafiti' wowote ule wa 'Kisayansi' na Kugundua kuwa Binadamu akiwa anasemwa sana / anachukiwa mno basi hufariki dunia?
 
“You will never reach your destination if you stop and throw stones at every dog that barks.”
Hao ni mbwa tu, waache wabweke💨🐕
 
Thread ili ifikishe viewers Milion moja humu inachukua muda gani, na inakuwa ya content ya namna gani..!?
Kwa mtazamo wangu, ni zile dizaini ya ile nyuzi ya 'kula tunda kimasihara' huwenda imefika viewers milion na ushee!
 
Trump mwenyewe mnaemlilia baada ya kuliwa kichwa, matamko na amri zake anazitoa kupitia Twitter.

Sema ni ushamba wetu tu kuamini kwamba Twitter siyo platforms sahihi kwa viongozi na watawaliwa hapa bara la giza!

Huyo Trump mshinda twita ameshinda?
 
Huyo Trump mshinda twita ameshinda?
Anakomaa na mahakama... btw nilichotaka kumanisha Twitter ni platforms nzuri kwa wanasiasa wa leo, hata huyo Magufuli wako 'alijishaua' kuzima mitandao akasahau kuna siku atatweet na kutaarifu umma kuhusu jambo lake.
 
Kwakweli ukipitia comments kila Mheshimiwa Sana anapo-tweet,unapata picha jinsi watu walivyo na machungu na hasira juu yake.

Swali ni je,Mheshimiwa Sana huwa anapitia hizo comments?

Na vijana wa Lumumba mbona hawajitokezi walau ku-balance equilibrium?

Kama anapitia, anajifunza mini?

Yaani asilimia zaidi ya 97 ni negative tu tena zenye lugha kali kabisa.

Mzee Baba, uje hivi ndivyo utakumbukwa maana jiulize watu hawa watasema nini siku ukitangulia mbele za haki kama leo uko hai ila comments ndio hizo?

Ushauri:Tumia kipindi hiki cha mwisho kujirekebisha japo huwezi ponyesha majeraha yaliyoko katika nafsi za watu ili walau upate mema machache ya kuongelewa vizuri.

Note:Unaesemwa vibaya zaidi ni wewe tu ila wanaokushangilia na kukusifu kwa kila jambo wao wala hawatajwi, na kama ni kutajwa, basi ni kidogo sana, hivyo ujue lawama zote utabeba peke yako.

Duniani tunapita jamani,tutende haki.
😆😆😆
 
Back
Top Bottom