M majah moneh New Member Joined Jun 16, 2017 Posts 3 Reaction score 1 Jun 30, 2017 #1 Hiv ni nani ambaye amewahi kumuona Mzee majuto wakati akiwa kijana au ameanza kuigiza ameshakuwa mzee
Hiv ni nani ambaye amewahi kumuona Mzee majuto wakati akiwa kijana au ameanza kuigiza ameshakuwa mzee
S seanherms JF-Expert Member Joined Apr 27, 2014 Posts 547 Reaction score 428 Jun 30, 2017 #2 Tusubiri marafiki zake waje!
Malimi Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2017 Posts 1,287 Reaction score 2,743 Jun 30, 2017 #3 Bongo muvi wanakuja kujb.
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Jun 30, 2017 #4 Kamuulize yeye labda ana picha zake za ujanani
mwanajamii mpya JF-Expert Member Joined Mar 18, 2017 Posts 554 Reaction score 445 Jun 30, 2017 #5 Amri Athumani Amri
dafity JF-Expert Member Joined Aug 16, 2008 Posts 1,858 Reaction score 2,059 Jun 30, 2017 #6 Mzee wa Makorora Tanga Jirani na Police Post. Makorora wadekaaa...
Bishop Hiluka JF-Expert Member Joined Aug 12, 2011 Posts 7,147 Reaction score 14,699 Jun 30, 2017 #7 majah moneh said: Hiv ni nani ambaye amewahi kumuona Mzee majuto wakati akiwa kijana au ameanza kuigiza ameshakuwa mzee Click to expand... Alikuwa anatumia jina la King Majuto, enzi hizo za vikundi vya maigizo kama Bima Mordern Taarabu, DDC Kibisa, Makutano Cultural Troupe n.k. akiwa na kina Batholomeo Milulu, Branco Minyugu, Nyonganyonga n.k...
majah moneh said: Hiv ni nani ambaye amewahi kumuona Mzee majuto wakati akiwa kijana au ameanza kuigiza ameshakuwa mzee Click to expand... Alikuwa anatumia jina la King Majuto, enzi hizo za vikundi vya maigizo kama Bima Mordern Taarabu, DDC Kibisa, Makutano Cultural Troupe n.k. akiwa na kina Batholomeo Milulu, Branco Minyugu, Nyonganyonga n.k...