Hivi na hapo Vatican wakatoliki huwa wanakutana jmosi asubuhi kusali jumuiya?

Siyo lazima iwe juma mosi,sisi iringa ni alhamisi jioni
 
Ya ngoswe ............muachie ngoswe.........kwanza swali wewe ni dini gani .......na dhehebu lako tafadhali.............? Maana unaweza kutaka kujua mambo yasiyo kuhusu.........kristo tumaini letu
 
Dini na umaskini dugu moja.
Mbona ulaya na uarabuni Sio masikini.
Ukishika dini huwezi kuwa masikini.
Umasikini ni matokeo ya uwekezaji mdogo kwenye maarifa na Sio matokeo ya dini.
 
Yanayofanyika parokia ya buza ,ndivyo yanavyofanyika Kahama,Sao Paulo, California, Canada, urusi, Finland, China, uarabuni,India , Vatican Lagos na Duniani pote
 
Moja ya utumwa mkubwa kwa waafrika basi ni DINI.

Africans have been totally brainwashed and religious indoctrinated.
Mbona Ulaya na uarabuni ilipoanzia dini hakuna utumwa.
Pili nani kakuambia Mwafrika kashika dini mwafrika anagusa dini na Sio kushika.
Ukishika dini huwezi kuwa masikini, mjinga,nk
 
Jumuia ni mpango kazi wa kutafuta pesa. Sio wakatoliki tu hata walutheri wanahako kaujinga na sadaka za jumuia zikiwa chache wanaongea kwenye matangazo. Kiufupi pesa mbele unaweza usinde jumuia ila ukawa unatoa michango bado utazikwa na kanisa vizuri tu
 
Sawa ila kama mtu Hana pesa asikilizwe na asihukumiwe.kani
Kanisa linahudumia mshiriki yeyeto bila kujali kipato.
Kama umekata ushirika na kanisa mfano kanisani, jumuiya uendi ushiriki chochote we ukifa.
Wapo wachungaji wa kukodiwa wanatakupa huduma
 
Utaratibu huu wa Jumuiya tunao utumia sisi Umeanzishwa na AMECEA nadhani unaelewa AMECEA ni nani. Kama huelewi fuatilia mchakato wa Jubilei ya miaka 50
. Na mwaka jana mkutano wao walifanyia TZ. Hivyo sio Dunia nzima wanafuata utaratibu huu ambao ulitokana na maisha ya wakristo wa kwanza.. Soma vizuri kitabu cha Matendo ya Mitume...

Kila nchi inautaratibu wao sio lazima uwe kama huu. Ila zipo nchi ambazo sio za AMECEA lakini zinatumia huu mfumo.
 
Utapataje huduma hali we si mshiriki.
Kama hushiriki means utaki usharika,kwann wakulazimishe usharika ukiwa maiti.
 
Hii hoja Haina mashiko sana,pia kanisa bila pesa litaendaje, kumbuka kanisa uhudumia masikini,wahitaji na wakimbizi Dunia pote pesa inatakiwa kusomesha,kulisha, kusafirisha,kuinjilishaji nk.
Zamani walipanda punda au kutembea kwa miguu walikula ugenini,walilala kwa wenyeji wao.
Sasa ulimwengu ni tofaut na zamani.
 
Sijakataa sadaka ni muhimu ilasoma vizuri nilichoandika utanielewa. Na haya mambo usiyaangalie kwa zile huruma za kimungu ww angalia kama binadamu alafu jiulize tutafika kweli
 
Heresy
Jumuiya ndogo ndogo ndiyo msingi wa Kanisa Katoliki. Hivyo huna namna kijana. Sali Jumuiya na waumini wenzako walau kila wiki mara moja, ili kuiimarisha imani yako.

Na kama hutaki, hamia kwa waislam ili uwe una swali swala 5 kila siku.
 
Yanayofanyika parokia ya buza ,ndivyo yanavyofanyika Kahama,Sao Paulo, California, Canada, urusi, Finland, China, uarabuni,India , Vatican Lagos na Duniani pote
Acha uongo. Jndogo ndogo ni model ya Kiafrica
 
Sijakataa sadaka ni muhimu ilasoma vizuri nilichoandika utanielewa. Na haya mambo usiyaangalie kwa zile huruma za kimungu ww angalia kama binadamu alafu jiulize tutafika kweli
Sasa utaendaje kwa Mungu mikono mitupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…