Tauceti Rigel
Member
- Mar 6, 2025
- 5
- 9
Watu wamelipia tiketi za mabasi kutoka mikoani wengine wakiwa na go -and -return ila siku imeharibika
Kuna watu wamepika visheti na maudambu udambu kibao ambayo hayatakiwi kulala (usikute mtu kakopa OYA kabisa ili apige mpunga wa uhakika)
Vipi kwa wale ambao mechi za Simba na Yanga kwao ni kama stimu ya ngada? Alosto zao zimefikiriwa kwenye maamuzi haya?
Kuna watu wamepika visheti na maudambu udambu kibao ambayo hayatakiwi kulala (usikute mtu kakopa OYA kabisa ili apige mpunga wa uhakika)
Vipi kwa wale ambao mechi za Simba na Yanga kwao ni kama stimu ya ngada? Alosto zao zimefikiriwa kwenye maamuzi haya?